Serikali inaendelea kuboresha Bandari ya Mtwara

Serikali inaendelea kuboresha Bandari ya Mtwara

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) mkoani Mtwara imepokea meli mbili zilizoshusha mtambo wa kupakulia mizigo mizito bandarini. Mitambo hiyo inauwezo wa kwenda chini ndani ya maji kwa zaidi ya mita 45, meli zilizoleta mitambo hiyo zimetoka Ireland na Dubai (UAE)

Mtambo huo utasaidia kuongeza kasi ya upakuaji wa mizigo pia itapelekea kufungua fursa mbalimbali za kibishara kwa nchi za Malawi, Zambia pamoja na kurahisisha utendaji wa kazi

Rais Samia Suluhu amefanikisha kuboresha bandari hii ya Mtwara ili kurahisisha shughuri za usafiri na usafirishaji pamoja na kufungua fursa mbali mbali za ajira Mungu aendelee kumuongoza Rais wetu kwa kipindi cha siku 549 akiwa madarakani ameleta maendeleo makubwa sana nchini.
 
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) mkoani Mtwara imepokea meli mbili zilizoshusha mtambo wa kupakulia mizigo mizito bandarini. Mitambo hiyo inauwezo wa kwenda chini ndani ya maji kwa zaidi ya mita 45, meli zilizoleta mitambo hiyo zimetoka Ireland na Dubai (UAE)

Mtambo huo utasaidia kuongeza kasi ya upakuaji wa mizigo pia itapelekea kufungua fursa mbalimbali za kibishara kwa nchi za Malawi, Zambia pamoja na kurahisisha utendaji wa kazi

Rais Samia Suluhu amefanikisha kuboresha bandari hii ya Mtwara ili kurahisisha shughuri za usafiri na usafirishaji pamoja na kufungua fursa mbali mbali za ajira Mungu aendelee kumuongoza Rais wetu kwa kipindi cha siku 549 akiwa madarakani ameleta maendeleo makubwa sana nchini.

24b198971fffbf49fd32f11b6b4a8119.png

Hii ni TAARIFA ya leo, kuhusu hali ya KIUCHUMI kwa bandari za PWANI YA AFRIKA YA MASHARIKI.
 
Magufuli alipozindua upanuzi wa bandari ya Mtwara mwaka 2018 ,Chadema walipinga
Tushawazoea kupinga kawaida yao lakini Rais Samia Suluhu amefanya mapinduzi makubwa hasa katika bandari hii sasa wana mtwara wanaenjoy tu
 
Back
Top Bottom