Serikali inahimiza vijana wasome masomo ya sayansi na teknolojia halafu wakigraduate wanawaachia manyoya

Serikali inahimiza vijana wasome masomo ya sayansi na teknolojia halafu wakigraduate wanawaachia manyoya

bjhjhj

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2023
Posts
207
Reaction score
398
Serikali ya Tazania inahimiza vijana kusoma masomo ya sayansi hasa uhandisi alafu sasa wakigraduate wanaacha vipaji vinaishia mtaani. Serikali kupitia secretariet ya ajira inabidi ijitahidi kutoa ajira nyingi kwa wahandisi wenye vigezo kwa kadri inavyoweza ili kupata wahandisi wazawa.
 
Ebu zunguka kote unakojua. Utafute sehemu iliyoandika kuwa kazi ya serikali ni kuajiri, Kisha ulete screenshot hapa.
 
Bongo Science iko overated. Unasoma kwa mateso unafanya kazi kwa mateso.

Huku waliosoma Kiswahili ndo wanakufanyia interview na kukupangia mshahara.
 
Back
Top Bottom