Hawatumii bei ya muuzaji na mnunuzi.. Utalipa mrahaba (royalty) + kodi kutokana na makadirio yao ya thamani ya madini husika. Hujasema kama ni metals au gemstones..
Kama upo dar, nenda kwny ofisi yao pale karibu na Muhimbili, opp na Tambaza sekondari, utapata maelezo kamili