TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Kiukweli serikali imekuwa ikiwapa sana kipaumbele walimu katika kuajiri pasipo kuangalia upungufu kwenye kada nyingine ambazo nazo zina umuhimu. Serikali ijitahidi kuajiri na kada nyingine kupunguza tatizo la ajira.
Ngoja niende kwenye maada kuu kiukweli nchi haina upungufu tu wa walimu bali kuna upungufu wa madawati, vifaa vya kufundishia, maabara n.k .
Na hili swala la upungufu wa walimu mashuleni serikali kamwe haiwezi kuumaliza labda kama serikali imeamua kufanya elimu ni swala la kisiasa ili kupata political mileage kupitia sera ya elimu bure.
Serikali sikivu ya rais Samia Suluhu inatakiwa irekebishe kidogo sera ya elimu bure na kuruhusu wazazi kuchangia katika elimu japo kwa udogo maana ukweli kipindi cha awamu iliyopita ilikuwa mwalimu akiomba mchango wowote inakuwa ni kesi kubwa mpaka walimu wakawa wanaogopa atakuwaambia watoto waje na hela ya uji kwa kuofia.
Lakini kwa sasa mheshimiwa anatakiwa kuongea lugha laini na wazazi na walimu kuwapa ruhusa ya kuchangisha vimichango vidogo vidogo ambavyo vinaweza kuinua elimu mfano kama kuna upungufu wa walimu katika shule basi mwalimu mkuu anaweza kuongea na afisa elimu akaita wazazi wakajadiri kuangalia kama wanaweza kuchangisha pesa kidogo kuajiri hata mwalimu wa muda the same applied kipindi cha Mzee wa Msoga hii ilisaidia walimu kuwa wengi mashuleni.
Awamu ya tano ya JPM ilikataza vimichango lakini still gap la ukosefu wa walimu wa sayansi mashuleni lilikuwa kubwa sana wapo walimu walioongea na wazazi waelewa wakakubaliana kuchangia katika elimu pia wapo walimu waliosema bora luende kwani wakifeli mimi inanihusu nini.
Serikali sasa ilegeze wazazi wasibanwe wala walimu wasibanwe kuchangia elimu kama watakaa kikao wakakubaliana.
#if you think education is expensive try.........
Mwisho nimalizie kwa kuwasalimu wote kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kiukweli serikali imekuwa ikiwapa sana kipaumbele walimu katika kuajiri pasipo kuangalia upungufu kwenye kada nyingine ambazo nazo zina umuhimu. Serikali ijitahidi kuajiri na kada nyingine kupunguza tatizo la ajira.
Ngoja niende kwenye maada kuu kiukweli nchi haina upungufu tu wa walimu bali kuna upungufu wa madawati, vifaa vya kufundishia, maabara n.k .
Na hili swala la upungufu wa walimu mashuleni serikali kamwe haiwezi kuumaliza labda kama serikali imeamua kufanya elimu ni swala la kisiasa ili kupata political mileage kupitia sera ya elimu bure.
Serikali sikivu ya rais Samia Suluhu inatakiwa irekebishe kidogo sera ya elimu bure na kuruhusu wazazi kuchangia katika elimu japo kwa udogo maana ukweli kipindi cha awamu iliyopita ilikuwa mwalimu akiomba mchango wowote inakuwa ni kesi kubwa mpaka walimu wakawa wanaogopa atakuwaambia watoto waje na hela ya uji kwa kuofia.
Lakini kwa sasa mheshimiwa anatakiwa kuongea lugha laini na wazazi na walimu kuwapa ruhusa ya kuchangisha vimichango vidogo vidogo ambavyo vinaweza kuinua elimu mfano kama kuna upungufu wa walimu katika shule basi mwalimu mkuu anaweza kuongea na afisa elimu akaita wazazi wakajadiri kuangalia kama wanaweza kuchangisha pesa kidogo kuajiri hata mwalimu wa muda the same applied kipindi cha Mzee wa Msoga hii ilisaidia walimu kuwa wengi mashuleni.
Awamu ya tano ya JPM ilikataza vimichango lakini still gap la ukosefu wa walimu wa sayansi mashuleni lilikuwa kubwa sana wapo walimu walioongea na wazazi waelewa wakakubaliana kuchangia katika elimu pia wapo walimu waliosema bora luende kwani wakifeli mimi inanihusu nini.
Serikali sasa ilegeze wazazi wasibanwe wala walimu wasibanwe kuchangia elimu kama watakaa kikao wakakubaliana.
#if you think education is expensive try.........
Mwisho nimalizie kwa kuwasalimu wote kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.