Tetesi: Serikali inakusudia kuanza kulipa malimbikizo ya nyongeza kwa watumishi wake

Tetesi: Serikali inakusudia kuanza kulipa malimbikizo ya nyongeza kwa watumishi wake

Siyo madeni hewa tena!

Habari njema ni kwamba serikali imefikia uamuzi wa kuanza kulipa malimbikizo na nyongeza zote kwa watumishi wa umma ikiwa ni pamoja na kupandisha vyeo.

Maazimio haya yanategemewa kuanza mwaka wa fedha 2017/2018

Serikali imeazimia kumaliza madeni yote ilikuondoa ktk lawama na shutuma ambazo imekuwa ikishutumi.

Sambamba na hilo kuna maazimio kadhaa yamepitishwa kuwapa rehema wale waliofukuzwa kazi kwa makosa mbali mbali likiwemo la kugushi kupewa mafao yao.

Hbr kamili kuwajia hivi punde stay tuned.
 
Habari ya uhakika kabisa ni kuwa rais ameagiza promotion zote zisiwepo na hata waliopanga bajeti ya 17/18 wamenithibitishia
 
Habari njema ni kwamba serikali imefikia uamuzi wa kuanza kulipa malimbikizo na nyongeza zote kwa watumishi wa umma ikiwa ni pamoja na kupandisha vyeo.

Maazimio haya yanategemewa kuanza mwaka wa fedha 2017/2018

Serikali imeazimia kumaliza madeni yote ilikuondoa ktk lawama na shutuma ambazo imekuwa ikishutumi.

Sambamba na hilo kuna maazimio kadhaa yamepitishwa kuwapa rehema wale waliofukuzwa kazi kwa makosa mbali mbali likiwemo la kugushi kupewa mafao yao.

Hbr kamili kuwajia hivi punde stay tuned.
ianze kuwalipa wazee wa jumuia ya africa masharik kwanza km kweli wana nia ya kulipa madeni
 
Stay tuned kwenye huu uzi ama wapi!!!

maana hakuna source ya tetesi yako
 
Hii stairi ya kusema habari punde yaja zijui nani kawafunza mana ni nyuzi nyingi zimeachwa maneno kama haya ,kama habar haijakamilika baki nayo huko
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Najiuliza kama viroba vimepigwa marufuku kutumika sasa uyu mleta uzi atakuwa amekunywa nin mpaka kuleta mada ya uchochez namna hii? ? Au amepiga kitu cha arusha?
 
Hatuna Shida na Mishahara ya magufuli na serikali yake ya mfalme juha
 
Mbona hamtaki kuamini wakuu? Kama ni hivyo njoo kwenye ajira binafsi
 
Back
Top Bottom