Serikali inamlipia matibabu Shekhe mkuu India

Serikali inamlipia matibabu Shekhe mkuu India

Udaku huo seriali ya tanzania inapeleka watanzania kadhaa kutibiwa nje kwa gharama ya serikali kama wewe hujui kalaga baho. ni vizuri kujua mambo yanavyoenda nchini kwako badala ya kukurupuka na kuandika maneno ya kipuuzi .kama u mbgonjwa pata taarifa ya daktari.andika barua wizara ya afya kisha wanakuorodhesha na kufikiriwa.kama utatoa tangazo kwenye gazeti wizara haifanyi cuttings za kutafuta wagonjwa wa kupeleka kutibiwa nje.hata hivyo sheikh mkuu au mufti ni kiongozi wa walipa kodi mamiliono kwa nini asitibiwe na serikali kama kiongozi wa dini
 
said kiongozi wa dini ana haki ya kutunzwa na waumini ....ni aibu waislamu kulipiwa matibabu ya sheikh mkuu....hata kama ni haki yake kama raia....mngeweza kuomba msaada wa serikali kama juhudi zenu zimefika kikomo......dezo
 


.... sitoshangaa kama kodi za wananchi zinatumika kumlipia matibabu kule India.

Hii siyo fitna lakini kama kuna ukweli kwenye hili then tunalo la kujadili....


Nafikiri heading yako ingekuwa swali "Serikali inamlipia matibabu Shekhe mkuu India?". Vinginevyo hili suala litajadiliwa kwa hisia na mapenzi ya kidini. Tuache uchochezi katika masuala ya imani!
 
kama kuna ukweli katika hili basi huu utakuwa ni ufisadi wa kidini
 



Hivi unajua waislam wangapi wanaikubali BAKWATA?

Hivi unajua kama waislam wanajua kama BAKWATA ni BRAZA KUU LA KUWAKANDAMIZA WAISLAM TANZANIA?

Hebu nitajie mazuri 10 waliyofanya BAKWATA tangu iundwe

Shekhe mkuu ni mvuta sigara mkubwa na alikuwa anajua madhara ya sigara sasa he is just reaping what he sow


Nakuomba uache kutwist mambo hapa, kuicriticise BAKWATA haimaanishi kuwa waislam wa Tanzania ndio wanaokuwa criticized


GT,
Nilikuomba urejee maelezo ya Kithuku na uoneshe ustaarabu, zaidi ya hapo nadhani yaliyobaki ni ya kwako binafsi, kwani ulikuwa na hiyari ya kufanya unavyotaka.

Lakini kumbuka dalili za mtu duni huyaona matendo yake.
 
Back
Top Bottom