Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Mengi yanazungumzwa sana kuhusiana na mkataba wa DP World huku maswali mengi yakikosa majibu. Watanzania wanaonesha kutoridhika na uwekezaji wa DP World katika bandari za Tanzania kwa kutokuridhishwa na majibu ya maswali yao. Watanzania wanasema kuwa hawapingi uwekezaji wao wanataka kufahamu matunda yake.
Maswali mawili muhimu yanayozunguka akilini mwa watu kila uchwao pasipo na majibu ni kuwa
Kikomo cha mkataba huu ni kipi?
(Ikumbukwe kuwa kikomo cha mkataba wowote ule ni cha kuzingatia sana kwasababu uwekezaji unaweza kufanya makosa ikiwa hakuna kikomo basi Watanzania watabeba matatizo yasiyo na kikomo)
Je, Watanzania watanufaikaje na huu mkataba?
Watanzania wengi wamekata tamaa, na ili imani irudi basi Serikali inashauriwa kuwajibu Wananchi maswali haya makubwa mawili.
Maswali mawili muhimu yanayozunguka akilini mwa watu kila uchwao pasipo na majibu ni kuwa
Kikomo cha mkataba huu ni kipi?
(Ikumbukwe kuwa kikomo cha mkataba wowote ule ni cha kuzingatia sana kwasababu uwekezaji unaweza kufanya makosa ikiwa hakuna kikomo basi Watanzania watabeba matatizo yasiyo na kikomo)
Je, Watanzania watanufaikaje na huu mkataba?
Watanzania wengi wamekata tamaa, na ili imani irudi basi Serikali inashauriwa kuwajibu Wananchi maswali haya makubwa mawili.