Serikali inapoteza mapato huku

Kama unajidanganya wanapata hasara bas tambua huwez jiunga hyo vpn yako bila kua na bando la internet... So hakijaaribika kitu
sasa si mpaka ujiunge,maana kuna mamilioni ya watu bado hata hawajui VPN ni mnyama gani. na andhani pia wengi tuko kwenye hizo trials
 
Wanajistukia,wanajua kuwa hawapo kwa ridhaa ya wananchi na hawajali kuhusu uchumi wa nchi bali madaraka yao tu
 
Sijaona kamapuni za simu zikilalamika kuhusu jambo hili, hii inamaana hawajaathirika kabisa na ufungwaji wa mitandao.
Unataka watekwe?

Walalamike waone. Tutawaokota Mkuranga kama Lwajabe.

Kwa kifupi wameingia ushirikiano na shetani kutuzimia data.

Subiri awageuzie kibao akianza kuwanyang'anya hela kwenye akaunti zao.
 
Siyo wanaofikiria kulipia VPN wapo wengi wameshalipia ili maisha yaendelee. Nikisema ili maisha yaendelee, kuna wengine watakuja hapa na kusema kwani wanakula VPN!!?? wakati hata wao pia mwendo ni VPN.
 
Hakuna uhuru usio na mipaka, udhibiti ni muhimu. Si mlitaka mitano tena...
 
Sijaona kamapuni za simu zikilalamika kuhusu jambo hili, hii inamaana hawajaathirika kabisa na ufungwaji wa mitandao.
Uko serious mkuu!!!?? Unaanzia wapi kulalamika ungekua ni wewe. Ukikanyagwa hutakiwa kupiga kelele, unatabasamu na aliyekukanyaga akigundua akakuuliza unaumia, unamjibu hapana.
 
Sijaona kamapuni za simu zikilalamika kuhusu jambo hili, hii inamaana hawajaathirika kabisa na ufungwaji wa mitandao.
Nimecheka kwa sauti. Eti kampuni hazijasema hili unataka rungu la TCRA liikute hiyo kampuni itakayo jichanganya eti.
 
wapi umeona nimesema nimesoma ulaya? au unaropoka sababu una jina feki hapa jf
Sababu nimeona ni mweupe kichwani ndio maana nimesema hivyo. We jina langu linakuhusu nini? Hili ndio jina langu original tena nashaauri JF waanze kusajiri memba kwa kutumia vitambulisho vya Nida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…