serikali inarudisha maendeleo ya elimu nyuma

twenty2

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
296
Reaction score
32
kwasababu wanatoa hahadi alafu hawatekelezi,mfano kujenga nyumba za walimu ambazo ndiyo ni sababu ya waliomaliza chuo na hawaendi kufundisha ukiwauliza hakuna maitaji,mfano mwingine vifaa vya wanafunzi mashuleni vtabu,madawati na hata chaki za kufundishia pamoja na mzingira na majengo.
 
 
inauma sana mkubwa haingii akilini kabisa kuwa serikali haiwezi kuwapatia wanafunzi madawati na vifaa vingine kumbuka nchi hii co maskini hiyo dhana2 wanufaika wachache2 da manjority wanataabika esp shule za vijijini balaa 2pu
 
hapo hapo bdo walivowapumbaaaaf wabunge wetu wanasimama ndani ya bunge na kutaka kuongezewa mishahara.............huh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…