twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
kwasababu wanatoa hahadi alafu hawatekelezi,mfano kujenga nyumba za walimu ambazo ndiyo ni sababu ya waliomaliza chuo na hawaendi kufundisha ukiwauliza hakuna maitaji,mfano mwingine vifaa vya wanafunzi mashuleni vtabu,madawati na hata chaki za kufundishia pamoja na mzingira na majengo.

