Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Mbona taarifa ilitoka mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nimpigie Komredi Makonda😂😂😂😂
Itangaze mapumziko kesho kwa wana Dar..
Pakiwa na mvua usiombe ,kuna siku tulikuwa na gari ya ofisi tunaelekea home ilikuwa kama mwaka 2020 miezi kama hii ya mwishoni.dar es salaam ni eneo zuri wakati wa jua lakini wakati wa mvua ni keroooooooo na CCM wapi busy miswaada ya kihuni
Hao wamezoea maisha yao kama kambale...Toka saa saba usiku mpaka muda huu ni takribani masaa 12 mvua haijakata. Sehemu nyingi za mitaa ya Dar hapapitiki sababu ya kujaa maji. Hata yale maeneo ambayo hayakuzoeleka kujaa maji leo yamejaa.
Ikiwa itaendelea kunyesha hivi kwa masaa mengine 12 yajayo sidhani kama kesho watu wataweza kutoka kwenda kwenye shughuli zao.
View attachment 2811374
View attachment 2811376
View attachment 2811377
View attachment 2811379