Serikali inatarajia kuanzisha Baraza la Afya ya Akili nchini

Serikali inatarajia kuanzisha Baraza la Afya ya Akili nchini

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Haya sasa wale ambao wanakutana na matatizo ya afya ya akili hatimaye serikali imewakumbuka sasa

Ila nimeipenda hii itatusaidia wengi sana. Kikubwa hilo baraza lifanye kazi kwa uwelidi na kuwasaidia watu
=====================
Serikali inatarajia kuanzisha Baraza la Afya ya Akili nchini litakalosimamia muundo utakaoratibu sekta mbalimbali za kitaaluma na kiutendaji ili kushughulikia ufanisi wa suala la afya ya akili.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa tarehe 31 Oktoba, 2024 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu aliyetaka kujua tamko la serikali kuhusu kuanzisha Baraza hilo baada ya kukithiri matukio yasiyo ya kawaida yanayochangiwa na tatizo la afya ya akili ikiwemo wizi, mauaji na mapenzi ya jinsia moja.

Soma Pia: Serikali mbioni kuanzisha Shahada ya juu ya uuguzi wa afya ya akili ili kupunguza makali ya gharama za kibobezi kwa waathirika

 
Serikali inatarajia kuanzisha Baraza la Afya ya Akili nchini litakalosimamia muundo utakaoratibu sekta mbalimbali za kitaaluma na kiutendaji ili kushughulikia ufanisi wa suala la afya ya akili.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa tarehe 31 Oktoba, 2024 Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu aliyetaka kujua tamko la serikali kuhusu kuanzisha Baraza hilo baada ya kukithiri matukio yasiyo ya kawaida yanayochangiwa na tatizo la afya ya akili ikiwemo wizi, mauaji na mapenzi ya jinsia moja.
Itakuwa Vizuri sana Unajua Tanzania Ni nchi ambayo Mtu anakufa na Stress na wala Hakuna Sehemu anaweza kwenye Kuna Kituo cha Therapy..

Inatakiwa Kwenye Makazini mwetu kuwa Kuna mental Therapy clinic..,Na ziwe Nyingi sana Vitu vyote vitaepushwa kabisa
 
Kuna mashoga wana akili timamu kuliko huyo Jesca
 
Back
Top Bottom