Serikali inatoa wapi ujasiri wa kumzuia mkulima kutumia mazao yake kwa namna aonavyo ina manufaa kwake?

Serikali inatoa wapi ujasiri wa kumzuia mkulima kutumia mazao yake kwa namna aonavyo ina manufaa kwake?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Sijui kama haya bado yapo siku hizi, lakini siku za nyuma ilikuwa kawaida kusikia:
1. Marufuku kufanya biashara ya mahindi mabichi kuepuka kuepuka upungufu wa chakula nchini!

2. Marufuku kusafirisha mahindi, mchele, n.k., nje ya nchi kuepuka upungufu wa chakula nchini

Ikiwa Serikali haikumsaidia mkulima kulima, iweje impangie jinsi ya kuyatumia mazao yake?

Mkulima analima kwa ajili ya manufaa yake au kwa ajili ya kuwanufaisha wasiolima?

Serikali huwa "haioani" aibu?
 
Kama kura tu wanaiba mchana kweupe! Hiyo aibu wanaitoa wapi? Jukumu lake kuu lilikuwa ni kuwatafutia tu wakulima masoko ya uhakika ya kuuzia mazao yao, na pia kiwaepusha wakulima na madalali.

Na siyo kuwapangia nanmna ya kuuza. Maana haiwasaidii wakulima kwa chochote! Hata hiyo mbolea ya ruzuku imekaa kibabaishaji tu.
 
Sijui kama haya bado yapo siku hizi, lakini siku za nyuma ilikuwa kawaida kusikia:
1. Marufuku kufanya biashara ya mahindi mabichi kuepuka kuepuka upungufu wa chakula nchini!

2. Marufuku kusafirisha mahindi, mchele, n.k., nje ya nchi kuepuka upungufu wa chakula nchini

Ikiwa Serikali haikumsaidia mkulima kulima, iweje impangie jinsi ya kuyatumia mazao yake?

Mkulima analima kwa ajili ya manufaa yake au kwa ajili ya kuwanufaisha wasiolima?

Serikali huwa "haioani" aibu?
Na kipindi cha mavuno huwekq barriers kila palipo na njia panda ili wajipatie ushuru kama sehemu yao ya dhuruma kwa wananchi/wakulima

Imagine nahitimu chuo, nanyimwa ajira naamua kujiongeza kwa kazi za shamba, sipewi pembejeo wala mborea ,

napata zangu gunia kadhaa za kuanzia kama mtaji kwa msimu unaofuata, wahuni na mifumo yao nyonyaji kwa jina ushuru wanaamua kujichukulia kiasi cha pesa ktoka kwa kijana wao anaejitafta
 
Kama kura tu wanaiba mchana kweupe! Hiyo aibu wanaitoa wapi? Jukumu lake kuu lilikuwa ni kuwatafutia tu wakulima masoko ya uhakika ya kuuzia mazao yao, na pia kiwaepusha wakulima na madalali.

Na siyo kuwapangia nanmna ya kuuza. Maana haiwasaidii wakulima kwa chochote! Hata hiyo mbolea ya ruzuku imekaa kibabaishaji tu.
sahihi
 
Ni wakati sasa kwa Wakulima mwenda mahakamani kutoa hizo marufuku. Japo kua hata wakiruhusu, Wanao faidika ni madalali kwa asilimia kubwa
 
Ogopa serikali ikishikwa na wajinga kama chiembe Tlaatlaah Lucas Mwashambwa et. al.
zingatia utaratibu,
visionary leaders wanaoongoza able government wanatathmini na kuona mambo kwa mbali sana na hivyo wanaweka utaratibu ambao utawanufaisha wananchi wake.

Gentleman,
Shibe ya uhakika kwa wananchi ndiyo amani ya nchi. Na kwakweli hata kwenye familia yako hakikisha unachakula cha kutosha na kinatumika kistaarabu kwa utaratibu mzuri.

Na ukiona mkeo analetachokochoko hali ya kua ndani ya nyumba kuna chakula cha kutocha jua anatafuta shari ingine ama amekuchoka tu bila sababu ya msingi au ameshiba amani.

Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania wote Dr Samia Suluhu Hassan, itaendelea kuwekeza vya kutosha kwenye kilimo, na kukifanya kua chenye tija zaidi na kinachozalisha ajira nyingine zaidi ikifuatiwa na biashara na ufugaji.

kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa letu.

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
 
Uwe na adabu kwa serikali yetu na viongozi wake.
Mjinga wewe adabu ninayo Kwa wazazi wangu na kazi yangu na zaidi kuliko Yote to the Most High in Heaven God almighty sio wajinga na wauaji kama wewe et.al!
 
Sijui kama haya bado yapo siku hizi, lakini siku za nyuma ilikuwa kawaida kusikia:
1. Marufuku kufanya biashara ya mahindi mabichi kuepuka kuepuka upungufu wa chakula nchini!

2. Marufuku kusafirisha mahindi, mchele, n.k., nje ya nchi kuepuka upungufu wa chakula nchini

Ikiwa Serikali haikumsaidia mkulima kulima, iweje impangie jinsi ya kuyatumia mazao yake?

Mkulima analima kwa ajili ya manufaa yake au kwa ajili ya kuwanufaisha wasiolima?

Serikali huwa "haioani" aibu?
Hilo la kusafirisha nje linakuwaga na sababu zake, mara nyingi zinakuwaga za msingi, hiyo kuchoma sijui mahindi mabichi sijawahi kusikia.
 
Back
Top Bottom