GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Sijui kama haya bado yapo siku hizi, lakini siku za nyuma ilikuwa kawaida kusikia:
1. Marufuku kufanya biashara ya mahindi mabichi kuepuka kuepuka upungufu wa chakula nchini!
2. Marufuku kusafirisha mahindi, mchele, n.k., nje ya nchi kuepuka upungufu wa chakula nchini
Ikiwa Serikali haikumsaidia mkulima kulima, iweje impangie jinsi ya kuyatumia mazao yake?
Mkulima analima kwa ajili ya manufaa yake au kwa ajili ya kuwanufaisha wasiolima?
Serikali huwa "haioani" aibu?
1. Marufuku kufanya biashara ya mahindi mabichi kuepuka kuepuka upungufu wa chakula nchini!
2. Marufuku kusafirisha mahindi, mchele, n.k., nje ya nchi kuepuka upungufu wa chakula nchini
Ikiwa Serikali haikumsaidia mkulima kulima, iweje impangie jinsi ya kuyatumia mazao yake?
Mkulima analima kwa ajili ya manufaa yake au kwa ajili ya kuwanufaisha wasiolima?
Serikali huwa "haioani" aibu?