Leo nimeshtushwa na magazeti haya mawili katika kurasa zao za mbele kubwa na vichwa vya habari vinavyofanana.
Kumekuwepo na tetesi kwamba serikali imekuwa ikiyapangia magazeti habari za kuandika.
Kati ya magazeti ambayo yalikuwa yamebaki na uhuru kidogo ni haya ya Mwananchi Communication, sasa nayo yamemezwa.
Tuzidi kutafuta pesa za kununua MB za kutosha tuweze kujitafutia habari mitandaoni.
Kumekuwepo na tetesi kwamba serikali imekuwa ikiyapangia magazeti habari za kuandika.
Kati ya magazeti ambayo yalikuwa yamebaki na uhuru kidogo ni haya ya Mwananchi Communication, sasa nayo yamemezwa.
Tuzidi kutafuta pesa za kununua MB za kutosha tuweze kujitafutia habari mitandaoni.