Serikali inayapangia Magazeti kitu cha kuandika? Tazama haya magazeti

Serikali inayapangia Magazeti kitu cha kuandika? Tazama haya magazeti

Kuna wakati nilianza kuhisi kuwa mhariri ni kigogo wa serikali anayehariri vichwa vya habari kuu vifanane. Je hii hutokea kwa bahati mbaya wahariri wafanane angle ya kuandika?
 
Ni vizuri ungeweka kabisa kapicha ka kuonyesha content za kufanana kwenye hayo magazeti hapa.

Yote kwa yote, Samia na Chawa wake wameiga mtindo ule ule wa Magufuli kuvifanya vyombo vya habari visiwe huru, Magufuli alikuwa anatumia nguvu ya moja kwa moja (vitisho vya kupotezwa) na Samia anatumia nguvu ya nyuma ya pazia (hongo na misamaha ya kodi).

Wameshindwa tu kwenye mitandao ya kijamii hususani JF.
kwenye mitandao ya kijamii zipo blog za kishenzi hata hazifai kuzisoma ni propaganda tupu zinaandika
 
Back
Top Bottom