Serikali inayapangia Magazeti kitu cha kuandika? Tazama haya magazeti

Bado unanunua magazeti Dunia ya Leo?
 
Kuna wakati nilianza kuhisi kuwa mhariri ni kigogo wa serikali anayehariri vichwa vya habari kuu vifanane. Je hii hutokea kwa bahati mbaya wahariri wafanane angle ya kuandika?
 
kwenye mitandao ya kijamii zipo blog za kishenzi hata hazifai kuzisoma ni propaganda tupu zinaandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…