Ni vizuri ungeweka kabisa kapicha ka kuonyesha content za kufanana kwenye hayo magazeti hapa.
Yote kwa yote, Samia na Chawa wake wameiga mtindo ule ule wa Magufuli kuvifanya vyombo vya habari visiwe huru, Magufuli alikuwa anatumia nguvu ya moja kwa moja (vitisho vya kupotezwa) na Samia anatumia nguvu ya nyuma ya pazia (hongo na misamaha ya kodi).
Wameshindwa tu kwenye mitandao ya kijamii hususani JF.