Serikali ingefanya Utafiti ingegundua watu wengi wanaweka salio kupitia nipige tafu na songesha

Serikali ingefanya Utafiti ingegundua watu wengi wanaweka salio kupitia nipige tafu na songesha

Kodi ya SALIO

Hapa serikali ilipaswa kufanya utafiti ingegundua kuwa watu wengi wanaweka salio kupitia nipige tafu,songesha, na nyingine za kukopa kupitia makampuni ya simu..yaani wananchi hawana uwezo wa kununua hata vocha hasa baada ya sekta binafsi kugandamizwa na awamu ya tano! Watu kushindwa kuwasiliana ni aina nyingine ya ubaguzi!

Kamwe mawasiliano hayawezi kuwa anasa

Kama mapendekezo ya serikali yakipitishwa na bunge dhaifu,basi simu itawekwa salio kwa wiki mara moja tena salio la jero! Itakuwa mwendo wa tafadhali nipigie!

Hawa jamaa wanaturudisha enzi zile vocha zinauzwa kwa dhamani ya dola...hadi leo vocha zinaitwa dola

Hebu fikiria VOCHA ikitengenezwa kampuni inalipia kodi,ikipelekwa kwa mteja inalipiwa kodi, ukiweka kwenye simu unalipia kodi.Mwendo wa kodi juu ya kodi sasa vocha ya jero itakuwa na dakika nne au pungufu ili kulipia kodi,yaani mwendo wa kodi juu ya kodi na juu ya kodi.

Wizara ya fedha na mipango inapaswa kuibua vyanzo vyenye tija kwa TAIFA na maslahi kwa umma na sio kukamua kile kidogo cha mvuja jasho.Mfano wangeweka tozo/kodi kwenye posho za waheshimiwa Wabunge,au wangepunguza kwa 50% posho na marupurupu ya wabunge na viongozi wa serikali

Waziri wa fedha aliwahi kujitamba kuwa yeye ni mchumi wa daraja la kwanza,zile tambo zote zilikuwa kwa ajili hii ya kutoza airtime kodi?

Mawasiliano na MIAMALA sio ANASA kwa Ulimwengu wa sasa,tena eneo hili ilitakiwa kodi iwe affordable zaidi ili kuchochea matumizi ya uwekaji na utoaji fedha kwa kufanya MANUNUZI na malipo kwa njia ya miamala sio Taslimu,hii ingepunguza kabisa black money kwenye mzunguko na hivo kukuza uchumi

Kwa hizi kodi zinazopendekezwa watu watarudi kwenye mfumo wa malipo Cash jambo ambalo ni hatari kwa ukuaji wa uchumi

Bahati mbaya sana Dodoma kuna praise team hakuna bunge la kuishauri au kuisimamia serikali, pale ni kikao cha kijani ambacho kazi yake ni kugonga meza tu!
Pale Dodoma kuna kundi la kuangalia maslai yao tu
 
Sijawahi kuona mhehe mjinga nadhani wewe ndio wa kwanza umeshindwa hata kusoma hiyo sentensi yangu ndogo na kuielewa ?
Mjinga ni wewe na mumeo achana na mimi kalipe wewe na mume usinizoee propaganda peleka huko Lumumba buku 7
 
Mjinga ni wewe na mumeo achana na mimi kalipe wewe na mume usinizoee propaganda peleka huko Lumumba buku 7
Ningekujibu lakini naogopa usijekwenda kujinyonga kama kawaida yenu wahehe, kukaa kimya mara nyingine ni busara. Ninachokuomba uhame hili jukwaa sio size yako.
 
Baraza la sasa la mawaziri lipo kwenye mtego, wengi waliokuwa mawaziri kipindi cha mwendazake hawajui kuwa 'wanaangaliwa' kwa umakini kila wanachofanya. Mama anawatafutia sababu awang'oe vichwa ili wale wanyonge wasije kusema "ametuonea kwakua baba kaondoka."
Mawaziri kuweni makini, shoka la kula vichwa bado lipo kazini!
 
Ningekujibu lakini naogopa usijekwenda kujinyonga kama kawaida yenu wahehe, kukaa kimya mara nyingine ni busara. Ninachokuomba uhame hili jukwaa sio size yako.
Hama wewe hapa sio sehemu ya waganga wa kinyeji fala wewe
 
Tuwe wazalendo jamani tulipe kodi ili tusiwe wategemezi na tuweze kupatiwa maendeleo bora na hii itasaidia watu kuona nchi za wenzao ni bora kuliko kwao wakati hao anawasifia kila kinachofanyika kodi inakatwa na husikii wakilalamika.
Tulipe kodi ngapi?
 
Fanya kazi hakuna nchi duniani wafanyabiashara hawalipi kodi,EFD duniani kote zipo hatuwezi kujitenga na dunia halafu tuwe tunailaumu serikali haileti maendeleo .Tunachotakiwa ni kudai kuwa kodi zipunguzwe na itumike njia sahihi ya kudai hiyo kodi.
Uganda hawatumii EFD machine lakn the way wanavyoishi inashangaza, Tanzania kwa maendeleo tuko mbali mno.
 
Uganda hawatumii EFD machine lakn the way wanavyoishi inashangaza, Tanzania kwa maendeleo tuko mbali mno.
Hapa sio Uganda mkuu pia South Africa hawana EFD wanatuzi maendelea
 
Kupunguza Kodi ni mwanzo wa makusanyo makubwa ya kodi, sema viongozi wetu hawajawahi hata kuuza maandazi hawajui ugumu uliopo.
 
Acha kbs
6644252f0f9b4a36935a1b682563608e.jpg
 
Humo humo kwenye songesha na nipige tafu watapita nazo... acheni kazi iendelee😂🤸🐒
 
Back
Top Bottom