Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Ngoja vijana wa Rage waje wakutukane. Leo jioni wataingia tena dimbani kucheza lile pira lao papatu papatu na ndugu zao wa Coastal.
Pira kukuru kakara.Ngoja vijana wa Rage waje wakutukane. Leo jioni wataingia tena dimbani kucheza lile pira lao papatu papatu na ndugu zao wa Coastal.
Hongera mkuu,kisukari cha hiari.Nina Sukari wakuu,yanga tamu
Naunga mkono hojaMashabiki na wapenzi wengi wa yanga watapata kisukari kwa utamu wanaoupata kutoka yanga....hili ni tatizo lidhibitiwe. Lakini pia wale wa upande wa pili Wana kila dalili ya matatizo ya afya ya akili pamoja na makasiriko. Kwa yanga hii Sasa tunakuwa na taifa la wagonjwa na tatizo ni hii YANGA.
Uzi tayari.
Mnajiona wenyeweMashabiki na wapenzi wengi wa yanga watapata kisukari kwa utamu wanaoupata kutoka yanga....hili ni tatizo lidhibitiwe. Lakini pia wale wa upande wa pili Wana kila dalili ya matatizo ya afya ya akili pamoja na makasiriko. Kwa yanga hii Sasa tunakuwa na taifa la wagonjwa na tatizo ni hii YANGA.
Uzi tayari.
Hapana mkuu,kizazi kinaangamia kwa utamu na uroda wa yanga.actually hii ni ramli chochezi mbaya zaidi unaandika huku unacheka na hapo inabadilika na kua ramli chonganishi, uko wa?
Jion kutakuwa na pira fujo,pira kukuru kakara.yanga tamu kama pisi kali ya kishua iliyozima fegi kwa muhuni
Kama vishindo vya wakoma au sio?Mpira wa Simba unafanana na ule wa Faru Dume, Messina na Mbagala Market...ni mwendo wa kupopoa maembe tu.
Mkuu jioni kutakuwa na pira papatu papatu a.k.a vishindo vya wakoma.
Safi mkuu maana sio kwa mauroda haya.Naunga mkono hoja
Kabisa raha saana tunapataSafi mkuu maana sio kwa mauroda haya.
Kweli utopolo ni kiwanda cha kuharibu akil,wakili msomi naye anayumbaMpira wa Simba unafanana na ule wa Faru Dume, Kagera Rangers, Messina na Mbagala Market...ni mwendo wa kupopoa maembe tu.
Hahaaaaaaaaaaaa..... konyo sana weye muzeye.Mashabiki na wapenzi wengi wa yanga watapata kisukari kwa utamu wanaoupata kutoka yanga....hili ni tatizo lidhibitiwe.
Lakini pia wale wa upande wa pili Wana kila dalili ya matatizo ya afya ya akili pamoja na makasiriko. Kwa yanga hii Sasa tunakuwa na taifa la wagonjwa na tatizo ni hii YANGA.
Uzi tayari.
Ngoja vijana wa Rage waje wakutukane. Leo jioni wataingia tena dimbani kucheza lile pira lao papatu papatu na ndugu zao wa Coastal.
Jion kutakuwa na pira fujo,pira kukuru kakara.