dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
kusema kweli imeleta kizaa zaa sana miezi hii 3...Mashabiki na wapenzi wengi wa yanga watapata kisukari kwa utamu wanaoupata kutoka yanga....hili ni tatizo lidhibitiwe.
Lakini pia wale wa upande wa pili Wana kila dalili ya matatizo ya afya ya akili pamoja na makasiriko. Kwa yanga hii Sasa tunakuwa na taifa la wagonjwa na tatizo ni hii YANGA.
Uzi tayari.