Serikali ingilieni kati, Yanga inaangamiza taifa

Kweli utopolo ni kiwanda cha kuharibu akil,wakili msomi naye anayumba
Tunasubiri waraka na muongozo wa wizara ya afya ni wapi na kwa namna gani mashabiki wa simba watakavyopewa matibabu bila kuziathiri raha za wanayanga.
 
Hahaha...kwa yanga hii usipoikubali hadharani basi utaikubali ndotoni.
 
Endeleeni KUROPOKA na UTOTO WENU.

Hivi unajua Maneno Huwa yanaumba!!!!

Unajua Madhara ya Ugonjwa WA kisukari na Garama za Matibabu yake!!!!!!!!!!!!!!

Unajua Magumu wanayo yapitia.

ENDELEA KULINGANISHA MPIRA NA MAGONJWA KAMA SUKARI.

WENYE AKILI TIMAMU NI WAWILI TU
 
Watu wa pira Gamondi kama jana ungewakagua ungekuta wana vikimba (vimavi) vidogo kama vya mbuzi kwenye kyupi zao, sema bahati ikawa kwao wakajikwamua dk ya 80 na ushee huko.
 
Tulia mwamposa...serkali lazima itulinde dhidi ya raha na utamu uliopitiliza. Mnataka tufe na utamu muanze kusema tuliwakimbia.
 
Watu wa pira Gamondi kama jana ungewakagua ungekuta wana vikimba (vimavi) vidogo kama vya mbuzi kwenye kyupi zao, sema bahati ikawa kwao wakajikwamua dk ya 80 na ushee huko.
Makolo upande wenu pumb* zinawauma kwa kukabia chini ili tufungwe. Nendeni hosipitali mpate matibabu. Yanga ni kama upepo wa LUKUGA haikandiwi.
 
Jana ilikuwa kivumbi
Wakubwa nusu wajambe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
niliamini kuwa mpira ni shetani baada ya bodaboda mmoja juzi kugongwa vibaya akishabikia mpira. wanasababisha vifo vingi sana hawa yanga.
 
wanaikubali kimya kimya
 
Ungejua shida , tabu, mateso wanayoyapitia wagonjwa WA Kisukari usingethubutu kuleta Pumba zako hapa.

Jitahidi UTOTO Ukipitiliza Inakuwa ni TATIZO .

UNAWEZA UKAJIKUTA UNAKUWA CHIZI SOKA.
 
Mashabiki na wapenzi wengi wa yanga watapata kisukari kwa utamu wanaoupata kutoka yanga....hili ni tatizo lidhibitiwe.
Pole, ngoja nikutumie namba ya daktari upate vipimo, ila aanze na cha akili
 
Ungejua shida , tabu, mateso wanayoyapitia wagonjwa WA Kisukari usingethubutu kuleta Pumba zako hapa.

Jitahidi UTOTO Ukipitiliza Inakuwa ni TATIZO .

UNAWEZA UKAJIKUTA UNAKUWA CHIZI SOKA.
Hahaaaaa....kama kawaida wafuasi wa timu ileee ya papatu papatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…