kusema kweli imeleta kizaa zaa sana miezi hii 3...Mashabiki na wapenzi wengi wa yanga watapata kisukari kwa utamu wanaoupata kutoka yanga....hili ni tatizo lidhibitiwe.
Lakini pia wale wa upande wa pili Wana kila dalili ya matatizo ya afya ya akili pamoja na makasiriko. Kwa yanga hii Sasa tunakuwa na taifa la wagonjwa na tatizo ni hii YANGA.
Uzi tayari.
Kabeeesaaaa rafikiiiii..
Na tumeshindaa, Baleke katoka na hat trick.Ngoja vijana wa Rage waje wakutukane. Leo jioni wataingia tena dimbani kucheza lile pira lao papatu papatu na ndugu zao wa Coastal.
Wenzako wamenuna, wewe unapata kabisa ujasiri wa kufurahia ushindi wa mchongo! Yaani mpaka timu iwe pungufu ndiyo ushindi unapatikana kwa urahisi.Na tumeshindaa, Baleke katoka na hat trick.
Wape salamu Musonda na Mzinze.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati yule anatoka ubao ulikua unasoma ngapiii?Wenzako wamenuna, wewe unapata kabisa ujasiri wa kufurahia ushindi wa mchongo! Yaani mpaka timu iwe pungufu ndiyo ushindi unapatikana kwa urahisi.
Kinyume na hapo, ni papatu papatu tu mwanzo mwisho.