Serikali iondoe kesi zote ICSID na kutafuta namna ya kulipa fidia

Serikali iondoe kesi zote ICSID na kutafuta namna ya kulipa fidia

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Nimefurahi kusikia kuwa Tanzania imeingia maelewano na kufuta kesi ICSID na kampuni ya Winshear Gold Corp. Kesi hii ilitokana na Tanzania kuchukua eneo lao bila kuwalipa fidia. Zipo kesi nyingi za namna hii- siyo fedheha , sisi kama taifa tukiamua kuondoa kesi na kutafuta namna ya kulipa fidia kwa kutaifisha au kuvunja mikataba.

Kama mikataba iliiingiwa kimakosa tubanane na wahusika hapa ndani ila hadhi yetu isichafuke huko nje
 
Shida sio mikataba kuingiwa kimakosa ila shida ni jinsi tunavyovunja. Mfano ni kweli Acacia walikua wanatuibia madini maana walikua hawafanyi declaration ya kuwemo dhahabu au madini mengine kwenye "makinikia".

Lakini.... ukisema uvunje mkataba tu au kukamata makontena kesi inabadilka kutoka wizi wa makinikia hadi "expropriation "!!

So suluhisho ilikua ni kuvunja mikataba kwa kufuata kanuni zile zile wakati tunaingia kwa mikataba hiyo. Sio kutafuta shortcut ilihali ushahidi upo.
 
Shida sio mikataba kuingiwa kimakosa ila shida ni jinsi tunavyovunja. Mfano ni kweli Acacia walikua wanatuibia madini maana walikua hawafanyi declaration ya kuwemo dhahabu au madini mengine kwenye "makinikia".

Lakini.... ukisema uvunje mkataba tu au kukamata makontena kesi inabadilka kutoka wizi wa makinikia hadi "expropriation "!!

So suluhisho ilikua ni kuvunja mikataba kwa kufuata kanuni zile zile wakati tunaingia kwa mikataba hiyo. Sio kutafuta shortcut ilihali ushahidi upo.
Lissu alisema akaonekana kibaraka kwa wajinga waliokuwa brainwashed na Magu na sisiemu lake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida sio mikataba kuingiwa kimakosa ila shida ni jinsi tunavyovunja. Mfano ni kweli Acacia walikua wanatuibia madini maana walikua hawafanyi declaration ya kuwemo dhahabu au madini mengine kwenye "makinikia".

Lakini.... ukisema uvunje mkataba tu au kukamata makontena kesi inabadilka kutoka wizi wa makinikia hadi "expropriation "!!

So suluhisho ilikua ni kuvunja mikataba kwa kufuata kanuni zile zile wakati tunaingia kwa mikataba hiyo. Sio kutafuta shortcut ilihali ushahidi upo.

Kwamba mikataba ya kipuuzi iliyoingiwa kwa rushwa na ubinafsi wa watu wachache sio shida?

Root cause ya hizo fidia na mikesi yote ni nini kama sio hiyo mikataba ya hovyo.

Labda ungesema (tulishakosea nyuma kama taifa kuingia mikataba ya kimangungo, hatuna budi kuwa wapole kuendana na hali halisi, cha kuzingatia madhara yasiwe makubwa kwa taifa) ila kamwe usiseme shida sio mikataba kuingiwa kinajisi.
ingekua sio shida wala hamna mtu angeandika habari za mikataba wala fidia.
 
Kwamba mikataba ya kipuuzi iliyoingiwa kwa rushwa na ubinafsi wa watu wachache sio shida?

Root cause ya hizo fidia na mikesi yote ni nini kama sio hiyo mikataba ya hovyo.

Labda ungesema (tulishakosea nyuma kama taifa kuingia mikataba ya kimangungo, hatuna budi kuwa wapole kuendana na hali halisi, cha kuzingatia madhara yasiwe makubwa kwa taifa) ila kamwe usiseme shida sio mikataba kuingiwa kinajisi.
ingekua sio shida wala hamna mtu angeandika habari za mikataba wala fidia.
Kwani shida ni mikataba mibovu au jinsi tunavyovunja? Mfano Kwani tulishindwa nini kufungua kesi ICSID kuonyesha tunaibiwa dhahabu iliyopo ndani ya makinikia? Sasa badala ya ku act smart tunakurupuka kukamata makontena sijui kufunga mgodi hiyo inaharibu kesi.
 
Nimefurahi kusikia kuwa Tanzania imeingia maelewano na kufuta kesi ICSID na kampuni ya Winshear Gold Corp. Kesi hii ilitokana na Tanzania kuchukua eneo lao bila kuwalipa fidia. Zipo kesi nyingi za namna hii- siyo fedheha , sisi kama taifa tukiamua kuondoa kesi na kutafuta namna ya kulipa fidia kwa kutaifisha au kuvunja mikataba. Kama mikataba iliiingiwa kimakosa tubanane na wahusika hapa ndani ila hadhi yetu isichafuke huko nje
Mchafu hachafuliwi mara 2.
Tulishapoteza watu makini, weledi, wanadiplomasia, washauri na wazalendo kitambo.

SAsa tuko na majambazi yenye suti na tai, yanawaza matumbo yao tu tena wanafurahia hizi kesi kwani wana 10% zao kwa wanaotushitaki....Ofisi ya mwanasheria mkuu yapaswa kuchomwa moto haraka
 
Shida sio mikataba kuingiwa kimakosa ila shida ni jinsi tunavyovunja. Mfano ni kweli Acacia walikua wanatuibia madini maana walikua hawafanyi declaration ya kuwemo dhahabu au madini mengine kwenye "makinikia".

Lakini.... ukisema uvunje mkataba tu au kukamata makontena kesi inabadilka kutoka wizi wa makinikia hadi "expropriation "!!

So suluhisho ilikua ni kuvunja mikataba kwa kufuata kanuni zile zile wakati tunaingia kwa mikataba hiyo. Sio kutafuta shortcut ilihali ushahidi upo.
Tanzania aina ya mikataba yake ni ile tuliyoiona ya DP WORLD, no exit clause hivyo njia pekee ya kuvunja mkataba ni kutumia ubabe bora ulipe fidia.

Kuna mkataba kama wa Symbion, Songas, Dp World nk ambayo haina exit clause, huwezi kuivunja wala kujiondoa.
 
Mkataba wa DP World CCM waliamua kesi watazihamishia Mahakama za Afrika kusini, labda kiingereza cha huko watakuwa wanakiweza. Huko kwingine uliona wanaulizwa wanajikuna kuna na kusema " I was not feeling well this morning".
Mimi naamini hizi kesi ni deal za CCM, hata hukumu walipanga wao. CCM wezi sana, hawaaminiki. Wao wanatuambia kila siku "tuwe na imani na Rais Samia" lakini siyo ccm. Bilioni 75!? sio mchezo, ndio maana wanlia majukwaani.
 
Shida sio mikataba kuingiwa kimakosa ila shida ni jinsi tunavyovunja. Mfano ni kweli Acacia walikua wanatuibia madini maana walikua hawafanyi declaration ya kuwemo dhahabu au madini mengine kwenye "makinikia".

Lakini.... ukisema uvunje mkataba tu au kukamata makontena kesi inabadilka kutoka wizi wa makinikia hadi "expropriation "!!

So suluhisho ilikua ni kuvunja mikataba kwa kufuata kanuni zile zile wakati tunaingia kwa mikataba hiyo. Sio kutafuta shortcut ilihali ushahidi upo.
Mbona Acacia hawajatushitaki na walilipa fedha kiasi fulani? Tuna ujinga wa kufikiri wazungu hata wakikiuka vipengele bado sisi tuna makosa na ardhi ni yetu wenyewe!
Madini yote yanayosafirishwa hayatusaidii kupandisha thamani ya uchumi wetu au fedha na kimataifa hayahesabiwi kwamba yanakuwa exported from Tanzania! Nchi ambayo yanaenda kuwa processed ndo inafaidika. Tumelala. Na sasa kuna kichochoro kingine eti tunasingizia jpm ndo alikuwa tatizo (siyo aliyeingia hii mikataba mibovu) Unaingiaje makubaliano kwa sheria za ndani halafu utumie sheria za nchi nyengine wakati wa migogoro na ukizingatia mali iko hapa?
 
Nimefurahi kusikia kuwa Tanzania imeingia maelewano na kufuta kesi ICSID na kampuni ya Winshear Gold Corp. Kesi hii ilitokana na Tanzania kuchukua eneo lao bila kuwalipa fidia. Zipo kesi nyingi za namna hii- siyo fedheha , sisi kama taifa tukiamua kuondoa kesi na kutafuta namna ya kulipa fidia kwa kutaifisha au kuvunja mikataba.

Kama mikataba iliiingiwa kimakosa tubanane na wahusika hapa ndani ila hadhi yetu isichafuke huko nje
Etwege
 
Acacia hawajatushitaki na walilipa fedha kiasi fulani?
Walishtaki mkuu ila moja ya makubaliano baada ya mazungumzo ni wao kuondoa kesi mahakamani na sisi tuondoe madai ya yale matrilion. Ndio maana tukapewa tu kishika uchumba basi.
Tuna ujinga wa kufikiri wazungu hata wakikiuka vipengele bado sisi tuna makosa na ardhi ni yetu wenyewe
Sasa wakikiuka sheria si na sisi tufungue kesi ya madai na tuvunje mkataba kisheria? Yaani mtu mna ushahidi kakwepa kodi si umpeleke mahakamani why upeleke JWTZ kufunga mgodi? Unategemea hutoshtakiwa hata kama una haki?
eti tunasingizia jpm ndo alikuwa tatizo
Yes alichangia pakubwa, tatizo ni jinsi ya kuivunja. Yeye alitumia mihemko kufuta leseni za wachimbaji bili kufuata taratibu. For example hao winshear Gold walifutiwa leseni baada ya sheria mpya ya madini kufanya kazi kwa kurudi nyuma??!! Ulitegemea wasishinde kesi? Mihemko ilitucost sana.
Unaingiaje makubaliano kwa sheria za ndani halafu utumie sheria za nchi nyengine wakati wa migogoro na ukizingatia mali iko hapa?
Hakuna kitu kama hiki, yes sheria za madini ni za ndani ila zikikiukwa huwezi ukashtakia mahakama za humu ndani maana lazima zitapendelea. So mnachagua nchi moja au arbitrator mmoja ndio mtatumia ikitokea mmekwaruzana. Hata jpm alisema mahakama za ndani zitumike kusolve kesi za madini. Obvious alikuja kufuta hicho kipengele baada ya kuambiwa hakitekelezeki.
 
Nimefurahi kusikia kuwa Tanzania imeingia maelewano na kufuta kesi ICSID na kampuni ya Winshear Gold Corp. Kesi hii ilitokana na Tanzania kuchukua eneo lao bila kuwalipa fidia. Zipo kesi nyingi za namna hii- siyo fedheha , sisi kama taifa tukiamua kuondoa kesi na kutafuta namna ya kulipa fidia kwa kutaifisha au kuvunja mikataba.

Kama mikataba iliiingiwa kimakosa tubanane na wahusika hapa ndani ila hadhi yetu isichafuke huko nje
Naunga mkono hoja.
P
 
Mkataba wa DP World CCM waliamua kesi watazihamishia Mahakama za Afrika kusini, labda kiingereza cha huko watakuwa wanakiweza. Huko kwingine uliona wanaulizwa wanajikuna kuna na kusema " I was not feeling well this morning".
Mimi naamini hizi kesi ni deal za CCM, hata hukumu walipanga wao. CCM wezi sana, hawaaminiki. Wao wanatuambia kila siku "tuwe na imani na Rais Samia" lakini siyo ccm. Bilioni 75!? sio mchezo, ndio maana wanlia majukwaani.
Mbona ugomvi wako na MKEO/MMEO unaenda kwa mwenyekiti wa mtaa- hamna mji wenu?
 
Nimefurahi kusikia kuwa Tanzania imeingia maelewano na kufuta kesi ICSID na kampuni ya Winshear Gold Corp. Kesi hii ilitokana na Tanzania kuchukua eneo lao bila kuwalipa fidia. Zipo kesi nyingi za namna hii- siyo fedheha , sisi kama taifa tukiamua kuondoa kesi na kutafuta namna ya kulipa fidia kwa kutaifisha au kuvunja mikataba.

Kama mikataba iliiingiwa kimakosa tubanane na wahusika hapa ndani ila hadhi yetu isichafuke huko nje
Hakuna kesi hapo,kuna michongo ya wahuni kujipigia kodi kingese
 
Shida sio mikataba kuingiwa kimakosa ila shida ni jinsi tunavyovunja. Mfano ni kweli Acacia walikua wanatuibia madini maana walikua hawafanyi declaration ya kuwemo dhahabu au madini mengine kwenye "makinikia".

Lakini.... ukisema uvunje mkataba tu au kukamata makontena kesi inabadilka kutoka wizi wa makinikia hadi "expropriation "!!

So suluhisho ilikua ni kuvunja mikataba kwa kufuata kanuni zile zile wakati tunaingia kwa mikataba hiyo. Sio kutafuta shortcut ilihali ushahidi upo.
Exactly. Tundu Lissu alitoa ushauri mujarab kabisa. Ila Dikteta akamshindilia risasi 16. Na Mungu kamuepusha Lissu na kifo ili aje kutusuta kwa kupuuza ushauri wake.
 
Kwani shida ni mikataba mibovu au jinsi tunavyovunja? Mfano Kwani tulishindwa nini kufungua kesi ICSID kuonyesha tunaibiwa dhahabu iliyopo ndani ya makinikia? Sasa badala ya ku act smart tunakurupuka kukamata makontena sijui kufunga mgodi hiyo inaharibu kesi.
Unaibiwaje kwenye mkataba uliouingia mwenyewe kichwa kichwa.Tatizo linaanzia jinsi ulivyosaini mkataba.Tunaingia mikataba yakijinga ndo maana akija kiongozi mwingine anaona haifai anavunja.kwahiyo wote anayeingia kijinga na anayevunja kijinga wanamakosa.
 
Mbona Acacia hawajatushitaki na walilipa fedha kiasi fulani? Tuna ujinga wa kufikiri wazungu hata wakikiuka vipengele bado sisi tuna makosa na ardhi ni yetu wenyewe!
Madini yote yanayosafirishwa hayatusaidii kupandisha thamani ya uchumi wetu au fedha na kimataifa hayahesabiwi kwamba yanakuwa exported from Tanzania! Nchi ambayo yanaenda kuwa processed ndo inafaidika. Tumelala. Na sasa kuna kichochoro kingine eti tunasingizia jpm ndo alikuwa tatizo (siyo aliyeingia hii mikataba mibovu) Unaingiaje makubaliano kwa sheria za ndani halafu utumie sheria za nchi nyengine wakati wa migogoro na ukizingatia mali iko hapa?

..acacia[ barrick + minority shareholders] walishtaki.

..kesi iliondolewa mahakamani baada ya barrick kukubali kuwanunua / kuwalipa minority shareholders.

..suala la acacia ni tofauti kidogo. Acacia hakunyang'anywa mgodi au kufutiwa leseni.
 
Haya mambo ya Serikali kuchukua asilimia 30 za Ardhi za watu haswa Dodoma kupitia Mkurugenzi Mafuru na genge lake lazima Serikali itakuja kulipa
Haya majambazi ya Jiji la Dodoma yabanwe kabla hasara
 
Back
Top Bottom