ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Vijana wengi wapo idle hawana kazi wana bet tu
Naomba serikali iondoe Kodi kwenye uingizaji wa mashine za uzalishaji
Vile vile Kuna ukiritimba wa uagizaji hasa wa zana za kilimo na pembejeo, Kuna matajiri wanapata vikwazo wakitaka kuagiza, maana Kuna viongozi wa serikali ndo wana hiyo nafasi ya kuagiza na kuuza bei kubwa Kwa wakulima
Mfano China tractor ni million 3 ila kufika huku litauzwa million 10
Tractors zikiwa cheap ni rahisi kuwashawishi vijana kulima, Sasa ni ngumu kumshawishi kijana kutumia jembe la mkono
Mashine zingine kama za kufyatua matofali, kuoaka mikate, kupasua mawe, mashine za kutotolesha vifaranga n.k zikipatina Kwa unafuu wa bei zitawafanya vijana wajiajiri kirahisi
Serikali imeondoa Kodi kwenye taasisi za dini, yaani Leo askofu anaweza kuingiza magari ya kifahari 200 Bure ila kuingiza tractors ni Kodi kubwa mno ambayo unasababisha upatikanaji kuwa mgumu
Serikali ufikirie vijana na kuhakikisha hasa zana na pembejeo za kilimo zinapatikana kirahisi
Naomba serikali iondoe Kodi kwenye uingizaji wa mashine za uzalishaji
Vile vile Kuna ukiritimba wa uagizaji hasa wa zana za kilimo na pembejeo, Kuna matajiri wanapata vikwazo wakitaka kuagiza, maana Kuna viongozi wa serikali ndo wana hiyo nafasi ya kuagiza na kuuza bei kubwa Kwa wakulima
Mfano China tractor ni million 3 ila kufika huku litauzwa million 10
Tractors zikiwa cheap ni rahisi kuwashawishi vijana kulima, Sasa ni ngumu kumshawishi kijana kutumia jembe la mkono
Mashine zingine kama za kufyatua matofali, kuoaka mikate, kupasua mawe, mashine za kutotolesha vifaranga n.k zikipatina Kwa unafuu wa bei zitawafanya vijana wajiajiri kirahisi
Serikali imeondoa Kodi kwenye taasisi za dini, yaani Leo askofu anaweza kuingiza magari ya kifahari 200 Bure ila kuingiza tractors ni Kodi kubwa mno ambayo unasababisha upatikanaji kuwa mgumu
Serikali ufikirie vijana na kuhakikisha hasa zana na pembejeo za kilimo zinapatikana kirahisi