Serikali iondoe Kodi kwenye uingizaji wa mashine za uzalishaji, ili kupunguza tatizo la ajira

Serikali iondoe Kodi kwenye uingizaji wa mashine za uzalishaji, ili kupunguza tatizo la ajira

Kumbe Topolo mwenzangu una akili hivi. Umeongea kitu kikubwa sana. Ila nikuhakikishe Serikali Sikivu Ya CCM inapenda tuendelee kuwa hivi hivi na mahangaiko. Kodi wanaondolewa wakina Mwamposa na Magenge mengine ya matapeli.
 
Kumbe Topolo mwenzangu una akili hivi. Umeongea kitu kikubwa sana. Ila nikuhakikishe Serikali Sikivu Ya CCM inapenda tuendelee kuwa hivi hivi na mahangaiko. Kodi wanaondolewa wakina Mwamposa na Magenge mengine ya matapeli.
Tufungue kanisa
 
Back
Top Bottom