Wapite kwenye vibaraza, au duka lako halina kibalaza?!Hawa machinga wanatutafutia ugomvi sisi wafanyabiashara wa maduka.
Kumbuka Wenye Fremu wanalipa Kodi TRA tutashindwa kulipa Kodi kwa style hii.
Serikali waliangalie hili Jambo kwa upana zaidi.
Hapa mteja anapita wapi kuja dukani wakati duka halionekani Kodi za pango ni zaidi ya milioni kwa mwezi tunapata shida Sana kufanya biashara.
Na ndio ukweli wenyewe.Wanyonge wa kipindi cha Mwendazake, na wakiguswa watatoa sababu mwendazake kafa ndio wananyanyaswa.
Sasa tukiendelea hivi miaka mitano itakuwaje?..yaani ni bora watu wastopishwe kwa sasa,hili la kufanya biashara hadi barabarani sio sawa kabisa kwa jamii iliyostaarabika.Wanyonge wa kipindi cha Mwendazake, na wakiguswa watatoa sababu mwendazake kafa ndio wananyanyaswa.
Ridhiki ndiyo nini?Muwaache wamachinga wafanye biashara nao wajipatie ridhiki.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Katika mazingira ya kukera wengine?Muwaache wamachinga wafanye biashara nao wajipatie ridhiki.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ila kiukweli hii sio sawa....kodi anayolipa mtu wa ndani ya duka na huyo Machinga ni tofauti kabisa... kwa kweli ni uonevu mkubwa.Hawa machinga wanatutafutia ugomvi sisi wafanyabiashara wa maduka.
Kumbuka Wenye Fremu wanalipa Kodi TRA tutashindwa kulipa Kodi kwa style hii.
Serikali waliangalie hili Jambo kwa upana zaidi.
Hapa mteja anapita wapi kuja dukani wakati duka halionekani Kodi za pango ni zaidi ya milioni kwa mwezi tunapata shida Sana kufanya biashara.
View attachment 1798116