Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
sawa mkuuChanjo zote zitakuja tu, kwani kwa mpango huu wa covax, chanjo zinasambazwa kulingana na upatikanaji wake.
Sasa hiyo ni vurugu.Mimi nashauri, kila mtu achanjwe chanjo zote hata kama ni 100 ili kuweka ulinzi mixer kwenye miili yenu
Hiyo inaitwa chanjo sotojo yani chanjo mixerSasa hiyo ni vurugu.
Siku codes zikiingiliana unageuka zako zombieMimi nashauri, kila mtu achanjwe chanjo zote hata kama ni 100 ili kuweka ulinzi mixer kwenye miili yenu
Johnson & johnson na pfizer mapema zimejichukulia umaarufu
Tunaanza kuchinjana βοΈSiku codes zikiingiliana unageuka zako zombie