Serikali iongeze umakini zaidi kwenye Idara ya Ujasusi

Serikali iongeze umakini zaidi kwenye Idara ya Ujasusi

Napenda kutoa tahadhari kwa idara ya ujasusi ya Tanzania kuongeza umakini juu ya ulinzi na usalama wa viongozi, uchumi, siasa na ulinzi wa RAIA.

Kuna vikundi Vingi vya kijasusi kutoka nje vinaingia sana nchini kwa ajenda ambazo hazina mashiko hata kidogo na watu hawa uwa wanaenda kwenye sehemu nyeti za nchi na kupenyeza ajenda zao za kujasusi.

Naamini vikosi vya ulinzi na usalama vipo makini sana ila tuongeze umakini zaidi

Taifa letu lipo kwenye vita kubwa sana ya kiuchumi kipindi hiki kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru maana tunatishia chumi zote za nchi zilizotuzunguka.

Kuna kikundi kimeingia nchini Jana kutoka nchi jirani kwa ajenda ya michezo ila sio kweli tuwe macho hasa kipindi hiki ambacho tupo busy na kuzisaidia Simba na Yanga kiusalama tusisahau usalama wa taifa.

Nawatakieni utekelezaji mwema wa majukumu yenu!!

Najua code mshaipata
Tiss wako imara kuhakikisha ccm inatawala milele. Hayo mengine sio ya maana hivyo kwao.
 
Napenda kutoa tahadhari kwa idara ya ujasusi ya Tanzania kuongeza umakini juu ya ulinzi na usalama wa viongozi, uchumi, siasa na ulinzi wa RAIA.

Kuna vikundi Vingi vya kijasusi kutoka nje vinaingia sana nchini kwa ajenda ambazo hazina mashiko hata kidogo na watu hawa uwa wanaenda kwenye sehemu nyeti za nchi na kupenyeza ajenda zao za kujasusi.

Naamini vikosi vya ulinzi na usalama vipo makini sana ila tuongeze umakini zaidi

Taifa letu lipo kwenye vita kubwa sana ya kiuchumi kipindi hiki kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru maana tunatishia chumi zote za nchi zilizotuzunguka.

Kuna kikundi kimeingia nchini Jana kutoka nchi jirani kwa ajenda ya michezo ila sio kweli tuwe macho hasa kipindi hiki ambacho tupo busy na kuzisaidia Simba na Yanga kiusalama tusisahau usalama wa taifa.

Nawatakieni utekelezaji mwema wa majukumu yenu!!

Najua code mshaipata
Kwa uongozi wa huyu mama nan awe na vita na Tz??

Kila kitu anagawa
Kila kitu chukueni tu
Bandari chukue
Mwendo kasi chukueni
mbuga chukueni
Madini choten tani yenu
Umeme chezeeni pigeni hela

Hapa hakuna vita wala ajenda….usalama wote umehamishiwa kwene kupambana na upinzani siyo usalama wa nchi
 
Napenda kutoa tahadhari kwa idara ya ujasusi ya Tanzania kuongeza umakini juu ya ulinzi na usalama wa viongozi, uchumi, siasa na ulinzi wa RAIA.

Kuna vikundi Vingi vya kijasusi kutoka nje vinaingia sana nchini kwa ajenda ambazo hazina mashiko hata kidogo na watu hawa uwa wanaenda kwenye sehemu nyeti za nchi na kupenyeza ajenda zao za kujasusi.

Naamini vikosi vya ulinzi na usalama vipo makini sana ila tuongeze umakini zaidi

Taifa letu lipo kwenye vita kubwa sana ya kiuchumi kipindi hiki kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru maana tunatishia chumi zote za nchi zilizotuzunguka.

Kuna kikundi kimeingia nchini Jana kutoka nchi jirani kwa ajenda ya michezo ila sio kweli tuwe macho hasa kipindi hiki ambacho tupo busy na kuzisaidia Simba na Yanga kiusalama tusisahau usalama wa taifa.

Nawatakieni utekelezaji mwema wa majukumu yenu!!

Najua code mshaipata
Wanajiita arsernal fans kumbe majajusi kagame anapambana., Kuna wakati alitujazia mabinti kwenye bar zetu. Tuwe makini
 
Maadui wa Tanzania ni viongozi wa Tanzania wenyewe, sio majasusi wa nje,
Kweli, tuangalie na mikataba tunayoingia na nchi matajiri katika kuwapa rasilimali zetu. Kiusalama, kwa nn tusiwape wafanyabiashara wetu. Anakuja mtu, ana kikampuni kidogo tu, tunampa mgodi au kiwanda, then anatumia documents hizo, anakopa benki, na sisi ndiyo tunamuwekea dhamana. Si vyema kwa usalama wa kiuchumi
 
Napenda kutoa tahadhari kwa idara ya ujasusi ya Tanzania kuongeza umakini juu ya ulinzi na usalama wa viongozi, uchumi, siasa na ulinzi wa RAIA.

Kuna vikundi Vingi vya kijasusi kutoka nje vinaingia sana nchini kwa ajenda ambazo hazina mashiko hata kidogo na watu hawa uwa wanaenda kwenye sehemu nyeti za nchi na kupenyeza ajenda zao za kujasusi.

Naamini vikosi vya ulinzi na usalama vipo makini sana ila tuongeze umakini zaidi

Taifa letu lipo kwenye vita kubwa sana ya kiuchumi kipindi hiki kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru maana tunatishia chumi zote za nchi zilizotuzunguka.

Kuna kikundi kimeingia nchini Jana kutoka nchi jirani kwa ajenda ya michezo ila sio kweli tuwe macho hasa kipindi hiki ambacho tupo busy na kuzisaidia Simba na Yanga kiusalama tusisahau usalama wa taifa.

Nawatakieni utekelezaji mwema wa majukumu yenu!!

Najua code mshaipata
Bongo suala la intelinsia naweza nikalipa asilima 10.... Raisi yeyote wa nchi yeyote dunia ya sasa hichi ni kipaumbele chake cha kwanza.

Intelijensia ya bongo naweza kusema niya wazee, kwamaana iko V's upinzani
 
Upo sahihi lakini kama bado hatuna katiba ndio useme wasilinde nchi?

Ulinzi wa nchi ni dhana pana sana na nadhani tunapaswa kufanya tafiti za kina kupata ufahamu wa kudadavua Kwa usahihi .

Ulinzi wa nchi kiuchumi..Kwa nini watanzania wengi bado maskini miaka 60 baada ya uhuru licha ya utajiri wa rasilimali?.Kwa kandarasi kubwa Za ujenzi wa miundombinu zinatolewa Kwa makampuni ya nje hasa State owned enterprises Za China?

Kijamii:Je Tupo salama dhidi ya intrusions mbalimbali za maadui wa kijamii? Ushoga,Virutubisho kwenye vyakula,Vinywaji,Vyandarua vya misaada ,Madawa ya kilimo,Mifugo..Chanjo..Pombe..Betting’s..Tunatalaji kuwa na kizazi cha namna gani after 50 years

Kisiasa:Je mfumo uliopo unasaidiaje kufanikisha upatikanaji wa wanasiasa wenye Upeo mkubwa zaidi wa kusaidia taifa kusonga mbele Kiuchumi,Kijamii,Kisayansi?..Rushwa-Takrima..Ununuzi wa vyeo..

Naamini idara inafanya kazi kubwa licha ya changamoto za kimazingira lakini haitoshi..Investment kubwa ifanyike kwenye faculties mbambali zenye risks Kwa nchi.

Katiba:Mamlaka thabiti Kimuundo/kimajukumu/na wajibu viwekwe ndani ya katiba Kwa kuzingatia matakwa ya nchi Kwa miaka 50 na 100 ijayo..Haswa ktk kupata maendeleo ya kweli..Kuyalinda maendeleo husika sambamba na rasilimali Kwa faida ya vizazi vilivyopo na vijavyo.

Nadhani litaimarisha ushupavu wa watendakazi,nidhamu,umakini,ubobevu,weredi..Na ikibidi iitwe Taasisi ya Usalama wa Taifa..Wawe watendaji zaidi kupitia miiko,misingi,taratibu,Kanuni zao,Desturi zao..Wasiingiliwe,Wasivurugwe,Wasisukumwe kisiasa,Wasichangamane kisiasa..
 
Tatizo pia sio kupenyezewa, je wamepenya hadi level gani? Hofu kuu ni pale wa kupenya wamepenyenya maeneo nyeti serikalini.
 
Wanaoharibu nchi mpo nao humo humo nchini.

Mnapishana nao koridoni acheni visingizio.

Idara imekuwa mouthpiece ya CCM, inadeal na wanaokosoa serikali tu huku majizi yanaikamu nchi na idara inawapa ulinzi.

Hebu niambie hizi ripoti za CAG utekelezwaji wake hii idara haihusiki??
download (3).jpeg
 
Back
Top Bottom