Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anataka atugawe atutawale kirahisiKichwa cha habari kinajieleza vizuri kwani hii itaondoa malamiko mengi dhidi ya uvunjwaji wa sheria unaoendelea - kusimikana uchifu - kitu kilichopigwa marufuku takriban miaka 60 iliyopita?
Acha uwongo, machifu wapigaji, maslahi, hamna wanalokubaliwa wakiomba, msimu wa mvua ikifika lazima inyeshe, hamna dua wala maombi ya kuharakisha, ni uviziaji tu. Ni mfumo batili kwa taifa. Kuendekeza machifu na watemi itatuletea shida mbeleni, Nyerere aliona hii kitu si yenyewe, nao wanataka mamlaka hivyo watayumbisha centralisation!Mama anaupiga mwingi, machief ni kwaajili ya kuenz mila na i tamaduni nzuri, kuwarithisha watoto na wajukuu zetu. Au mnataka watoto na wajukuu zetu warithi mila na tamaduni za kimagharibi?
Na usultan kwa visiwani piaKichwa cha habari kinajieleza vizuri kwani hii itaondoa malamiko mengi dhidi ya uvunjwaji wa sheria unaoendelea - kusimikana uchifu - kitu kilichopigwa marufuku takriban miaka 60 iliyopita?
Sasa semeni kinagaubaga kwamba ile sheria ya 1963 ilikuwa batili, mnashindwa nini? Mnapendelea mambo ya janja tu kutugawa wananchi - lo!Uchifu uko kiasili hauhitaji muswada!
Acha uwongo, machifu wapigaji, maslahi, hamna wanalokubaliwa wakiomba, msimu wa mvua ikifika lazima inyeshe, hamna dua wala maombi ya kuharakisha, ni uviziaji tu. Ni mfumo batili kwa taifa. Kuendekeza machifu na watemi itatuletea shida mbeleni, Nyerere aliona hii kitu si yenyewe, nao wanataka mamlaka hivyo watayumbisha centralisationkm
Pamoja na Kurudisha UCHIFU wapeweKichwa cha habari kinajieleza vizuri kwani hii itaondoa malamiko mengi dhidi ya uvunjwaji wa sheria unaoendelea - kusimikana uchifu - kitu kilichopigwa marufuku takriban miaka 60 iliyopita?
Hatuna utawala wa kisheria, rais hafungwi na sheria. Hata kiapo ni kupoteza muda.Kichwa cha habari kinajieleza vizuri kwani hii itaondoa malamiko mengi dhidi ya uvunjwaji wa sheria unaoendelea - kusimikana uchifu - kitu kilichopigwa marufuku takriban miaka 60 iliyopita?
Uwenda miungoni mwa wanafunzi wa gwajiboy, je, kuna kilema mtaani kwenu unaemfahamu akaombewa kiungo kikarudi? Je unaamini unaombewa hadi unakuwa tajiri? Je kwa akili yako ya kawaida, unaamini unaweza kufanyiwa maombi ukapata mtoto? Swala la kawaida unaambiwa na daktari kuwa uzai lakini baadae mtu uzazi unapatikana, hiyo imetokea kwa mtu wa karibu yangu, bila maombi, ni swala la laumbile kibaolojia, acha kuamini misukule!Hakuna ulichoandika
Unarudi Misri, Mungu akusaidie maana amani na shibe vimekulevyaKichwa cha habari kinajieleza vizuri kwani hii itaondoa malamiko mengi dhidi ya uvunjwaji wa sheria unaoendelea - kusimikana uchifu - kitu kilichopigwa marufuku takriban miaka 60 iliyopita?