Serikali ipige marufuku series za kihistoria za Kituruki

Serikali ipige marufuku series za kihistoria za Kituruki

avogadro

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
8,082
Reaction score
14,457
♦️Nimefuatilia maudhui ya films za KITURUKI za kihistoria ambazo zinahusisha kwa kiasi kikubwa mapambano ya mapanga nikaona kwa mawazo yangu hazifai kuonyeshwa Tanzania

♦️ Zinaonyesha ukatili wa kuchinjana hadharani kwa mapanga, hivyo zinaweza kufanya vijana wakaiga michezo hiyo na kutengeneza uhalifu dhidhi ya binaadam.Michezo inayohusisha mapanga ni tofauti katika jamii na michezo ya bunduki kwani mapanga yanapatikana kwa kila mtu na ni rahisi hata watoto kufanyia majaribio

♦️Pili kwa kuwa ni za kihistoria na wamezitengeneza wao wenyewe na sio nchi nyingine zina propaganda kubwa sana za dini yao, na kwa nchi kama Tanzania ambao tuna mchanganyiko wa dini tofauti naona kwamba zina kaukakasi kakubwa sana kurushwa kwenye media zetu.
 
♦️Nimefuatilia maudhui ya films za KITURUKI za kihistoria ambazo zinahusisha kwa kiasi kikubwa mapambano ya mapanga nikaona kwa mawazo yangu hazifai kuonyeshwa Tanzania

♦️ Zinaonyesha ukatili wa kuchinjana hadharani kwa mapanga, hivyo zinaweza kufanya vijana wakaiga michezo hiyo na kutengeneza uhalifu dhidhi ya binaadam.Michezo inayohusisha mapanga ni tofauti katika jamii na michezo ya bunduki kwani mapanga yanapatikana kwa kila mtu na ni rahisi hata watoto kufanyia majaribio

♦️Pili kwa kuwa ni za kihistoria na wamezitengeneza wao wenyewe na sio nchi nyingine zina propaganda kubwa sana za dini yao, na kwa nchi kama Tanzania ambao tuna mchanganyiko wa dini tofauti naona kwamba zina kaukakasi kakubwa sana kurushwa kwenye media zetu.


Usiingize mambo ya kidini hapa, wewe sema tu hazufai kuonyeshwa kwani zinaweza kutia athari hasi kwa watoto na vijana wetu, watato na vijana wa dini zote.
 
[emoji3532]Nimefuatilia maudhui ya films za KITURUKI za kihistoria ambazo zinahusisha kwa kiasi kikubwa mapambano ya mapanga nikaona kwa mawazo yangu hazifai kuonyeshwa Tanzania

[emoji3532] Zinaonyesha ukatili wa kuchinjana hadharani kwa mapanga, hivyo zinaweza kufanya vijana wakaiga michezo hiyo na kutengeneza uhalifu dhidhi ya binaadam.Michezo inayohusisha mapanga ni tofauti katika jamii na michezo ya bunduki kwani mapanga yanapatikana kwa kila mtu na ni rahisi hata watoto kufanyia majaribio

[emoji3532]Pili kwa kuwa ni za kihistoria na wamezitengeneza wao wenyewe na sio nchi nyingine zina propaganda kubwa sana za dini yao, na kwa nchi kama Tanzania ambao tuna mchanganyiko wa dini tofauti naona kwamba zina kaukakasi kakubwa sana kurushwa kwenye media zetu.
Ficha ujinga wako.
 
Mbona vita vya kwanza na vya pili tunajifunza shuleni tukiwa wadogo na huoni mtoto kaja na gobole la baba yake shule?

Nawaza tu huu uchawi tumeona kwenye tv gani za nje?
Na mwisho albino na kuchoma wizi wa yebo yebo nao tumeutoa wapi huo utamaduni?

Kila tamthilia na filamu zina miaka ya kuangalia kama ni chini ya 18 hawaruhusiwi basi wasiangalie
Ni mawazo yangu tu na mchango wangu
 
[emoji3532]Nimefuatilia maudhui ya films za KITURUKI za kihistoria ambazo zinahusisha kwa kiasi kikubwa mapambano ya mapanga nikaona kwa mawazo yangu hazifai kuonyeshwa Tanzania

[emoji3532] Zinaonyesha ukatili wa kuchinjana hadharani kwa mapanga, hivyo zinaweza kufanya vijana wakaiga michezo hiyo na kutengeneza uhalifu dhidhi ya binaadam.Michezo inayohusisha mapanga ni tofauti katika jamii na michezo ya bunduki kwani mapanga yanapatikana kwa kila mtu na ni rahisi hata watoto kufanyia majaribio

[emoji3532]Pili kwa kuwa ni za kihistoria na wamezitengeneza wao wenyewe na sio nchi nyingine zina propaganda kubwa sana za dini yao, na kwa nchi kama Tanzania ambao tuna mchanganyiko wa dini tofauti naona kwamba zina kaukakasi kakubwa sana kurushwa kwenye media zetu.
Sasa mzee umesemq vizuri kabisa historia ya uturuki,sasa inashida gani mtanzania kuona?? Nachokiona mimi ni ukristo wako unakusumbua tu,huna cha zaidi chochote kile.

Hizi filamu za mapanga za hapa nchini zimeanza kuoneshwa miaka mingi sana kwa mfano za kikorea na za kichina kwa television za zamani kama ITV n.k lakini hukuwai kujenga hoja yeyote ile.

Kama issue ni imani tofauti za watanzania and tunaitaji neutral environment,anzisha hoja pia kwa siku ya jumapili televisions zote kwa mida ya asubuhi kufanya vipindi vya dini moja tu.

Nakukumbusha pia, hujalazimishwa kununua au kuangalia azam tv. Nunua king'amuzi chako pendwa chenye maudhui unayotaka wewe.
 
Waache kuonesha hizo waoneshe zipi tena uongo wa bongo movie kila siku wanaelezea mapenzi,uchawi nk hawana jipya au porn za wazungu mana sio movie wala series ya kizungu unayoweza kuangalia na familia sasa,na sasa hivi wamekuja na mambo ya ushoga wanaonesha live Kwenye TV shows zao(Power,elites etc) atleast Blackish na hiyo imeisha sasa anyways labda wakitoa hizo series za kituruki,kikorea au kichina wawekeze sana bongo movie wawe wanaigiza hata historia ya kwetu na machifu au Africa kwa ujumla n.k!!!
 
Sasa mzee umesemq vizuri kabisa historia ya uturuki,sasa inashida gani mtanzania kuona?? Nachokiona mimi ni ukristo wako unakusumbua tu,huna cha zaidi chochote kile.

Hizi filamu za mapanga za hapa nchini zimeanza kuoneshwa miaka mingi sana kwa mfano za kikorea na za kichina kwa television za zamani kama ITV n.k lakini hukuwai kujenga hoja yeyote ile.

Kama issue ni imani tofauti za watanzania and tunaitaji neutral environment,anzisha hoja pia kwa siku ya jumapili televisions zote kwa mida ya asubuhi kufanya vipindi vya dini moja tu.

Nakukumbusha pia, hujalazimishwa kununua au kuangalia azam tv. Nunua king'amuzi chako pendwa chenye maudhui unayotaka wewe.
Mkubwa historia hiyo inahusisha dini kuu mbili ambazo Tanzania zina wafuasi wengi na wamegawanyika.Ilitakiwa zionyeshwe kwenye channel za kidini na sio public channels
 
Ahaha wabongo Wana stress sn..

Vp movies za Hollywood ambazo zinatumia bunduki,au wakorea kina jumong wanaotumia swords,au wafilipino ambao kila muvi lazima awepo shoga?

Kwenye Karne hii ukisema uje na Sheria za kukataza maudhui Fulani yasionyeshwe Kwa tv,basi utafungia kila kitu maana hata hiyo bongo flavour yenu imejaa matusi na video zenye maudhui ya uchi na ngono,na zinapigwa kuanzia asubuhi Hadi usiku

Hao watoto ambao umegeuka nsemaji wao wapigie nyimbo ya singeli alafu sema mamaaa Amina alafu sikia wanavyojibu!!!
 
Tatizo hilo neno baya huwa mnawaza masaa yote ndio maana mmewaharibu watoto wenu kule Arusha kwa ujinga huo huo
Acha kuvuta bange, neno gani. Mi mkatoliki pure, Ila nilikuwa namchalenge mleta mada, aache utoto
 
unaweza kuchangia hoja ya maana lakini ubaya unakuja pale ambapo unagundua watekelezaji hawana muda na mawazo yako.

Kwa leo natia mguu kusoma michango ya wadau!
 
Back
Top Bottom