Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Mimi ni tajiri.Umasikini ni mbaya sana,hujenga chuki bila sababu,
Tafuta hela upone hilo gonjwa la chuki linaloitafuna nafsi yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni tajiri.Umasikini ni mbaya sana,hujenga chuki bila sababu,
Tafuta hela upone hilo gonjwa la chuki linaloitafuna nafsi yako.
Mimi ni tajiri.
Tajiri!Mimi ni tajiri.
Tajiri asiye na busara hata kidogo.Mimi ni tajiri.
Kama hayahusiani nadini mbona hii dini haijitokezi hadharani kuwakemea hao wahuni waache kuichafua dini yao?Fanya utafiti uelewe hayo makundi yameanzishwa na kina nani na Kwa lengo lipi!
Soma elim inamsaada sana katika kichwa cha mtu.
Hizo filim tulikuwa hatuangalii mara kwa mara, na ilikuwa lazima uende ukumbini. Lakini hizi kila siku watu wanachinjwa shingo na visu hadharani, watoto wadogo wataingiwa na ukatili na wanaweza kujifanyia majaribio.Wewe unaonekana unachuki za kidini mbona zamani tulikuwa tunacheki film za kivita na za kung fu na pia mapanga yalikuwepo mbona sisi hatujawa wahalifu ?
Huna akili wewe 😊 mnausema na kuuchukia uislam bure pasi na kujua loloteIle dini ndio chanzo.
Mnyaazi kawaruhusu ukatili hao.
Wewe nawe unachuki bila shule, naona huwa unaumia sana uwepo wa hiyo Dini.
♦️ Kuonyeshwa TV nyingi duniani sii kigezoMbona hizi mini series zinaoneshwa katika television nyingi sana duniani?
Nimeona sehemu zimekuwa very popular lakini vijana hawajaanzisha vita ya tatu ya dunia kwa kutumia panga.
Watanzania kweli tuna shida sana.
Labda pia tuombe Uzalo isionyeshwe maana mchezo wake unahusisha sana kanisa na yule shoga anayejipaka make up kwa wingi.
Tutaendelea kweli kwa visingizio vya kila aina?
Cheki huyu na upumbafu wake alionaoFicha ujinga wako.