serikali ipige stop vyombo vya habari vya kimataifa vinavyorusha habari kwa Kiswahili

serikali ipige stop vyombo vya habari vya kimataifa vinavyorusha habari kwa Kiswahili

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Wadau naleta hili kwenu, kwa sababu naona vyombo hivi siku izi watangazaji wake wengi ni wa Kenya, na wamekuwa na kiswahili cha ajabu ajabu sanaa sio kiswahili ichi chetu cha Tz

Hawa jamaa wana misamiati yao ajabu ajabu sanaa mfano mufti mufti, venye, n.k ...hii misamiati haipo kabisa hapa Tz, mabaraza yetu ya kiswahili Bakita + Bakiza hawatambui hii misamiati kabisaa, na mm naona tuki endelea na huu upuuzi ipo siku watatuaribia watoto wetu...

Au kama ni vipi hawa BBC na vyombo vingine waambie wawe wana matangazo ya Kiswahili cha Tz na Kiswah cha Kenya,
 
Kiswahili kinachangia umasikini kwa kiwango kikubwa tz.

Hivyo hupaswi kukililia hivyo
 
Wadau naleta hili kwenu, kwa sababu naona vyombo hivi siku izi watangazaji wake wengi ni wa Kenya, na wamekuwa na kiswahili cha ajabu ajabu sanaa sio kiswahili ichi chetu cha Tz

Hawa jamaa wana misamiati yao ajabu ajabu sanaa mfano mufti mufti, venye, n.k ...hii misamiati haipo kabisa hapa Tz, mabaraza yetu ya kiswahili Bakita + Bakiza hawatambui hii misamiati kabisaa, na mm naona tuki endelea na huu upuuzi ipo siku watatuaribia watoto wetu...

Au kama ni vipi hawa BBC na vyombo vingine waambie wawe wana matangazo ya Kiswahili cha Tz na Kiswah cha Kenya,
Watoto wa wapi wanaangalia taarifa za habari?
Bro vijana wa miaka 16 - 40 ni wachache sana wanaoangalia taarifa za habari Tanzania na duniani kwa ujumla.

Kuna ripoti nilisoma inasema asilimia kubwa ya vijana wa Marekani hawafatilii kabisa siasa yani hawajui chochote!
 
Wadau naleta hili kwenu, kwa sababu naona vyombo hivi siku izi watangazaji wake wengi ni wa Kenya, na wamekuwa na kiswahili cha ajabu ajabu sanaa sio kiswahili ichi chetu cha Tz

Hawa jamaa wana misamiati yao ajabu ajabu sanaa mfano mufti mufti, venye, n.k ...hii misamiati haipo kabisa hapa Tz, mabaraza yetu ya kiswahili Bakita + Bakiza hawatambui hii misamiati kabisaa, na mm naona tuki endelea na huu upuuzi ipo siku watatuaribia watoto wetu...

Au kama ni vipi hawa BBC na vyombo vingine waambie wawe wana matangazo ya Kiswahili cha Tz na Kiswah cha Kenya,
Nani alikwambia kiswahili kina milikiwa na Tanzania? Hao watangazaji wa TBC ndiyo unataka wakaajiriwe DW, BBC & VOA ata uelewa wao wa mambo ya kidunia ni mdogo wanalala na kuota CCM
 
Wadau naleta hili kwenu, kwa sababu naona vyombo hivi siku izi watangazaji wake wengi ni wa Kenya, na wamekuwa na kiswahili cha ajabu ajabu sanaa sio kiswahili ichi chetu cha Tz

Hawa jamaa wana misamiati yao ajabu ajabu sanaa mfano mufti mufti, venye, n.k ...hii misamiati haipo kabisa hapa Tz, mabaraza yetu ya kiswahili Bakita + Bakiza hawatambui hii misamiati kabisaa, na mm naona tuki endelea na huu upuuzi ipo siku watatuaribia watoto wetu...

Au kama ni vipi hawa BBC na vyombo vingine waambie wawe wana matangazo ya Kiswahili cha Tz na Kiswah cha Kenya,
Umeachika?
 
Watoto wa wapi wanaangalia taarifa za habari?
Bro vijana wa miaka 16 - 40 ni wachache sana wanaoangalia taarifa za habari Tanzania na duniani kwa ujumla.

Kuna ripoti nilisoma inasema asilimia kubwa ya vijana wa Marekani hawafatilii kabisa siasa yani hawajui chochote!
Achana na Marekani tupo bongoland
 
Back
Top Bottom