Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Hakuna ubishi kila mtu anajua kilichotokea kipindi cha awamu ya tano kwa vijana wafuatao.
1. Bashite
2. Sabaya
3. Gambo
4. Mnyeti
5. Chalamila na wengine kama kina Ally Hapi though huyo sina uhakika sana.
Wengi waliishi kwa kupora mali za watu. Serikali ikisema itangaze wajitokeze watajaa uwanja. cha kufanya, kwamfano lile la Bashite, kwa nyumba ya mikocheni ni wazi hawawezi kuwa walilipana kwa cash ya mkononi, lazima pesa ni nyingi waliweka bank.
Wamwambie tu Bashite aonyeshe transaction aliyoifanya kudeposit pesa kwa GSM au alete hata wakili au shahidi yeyote kama atajitokeza. wakiona hakuna transaction yeyote aliyoifanya ila analazimisha kwamba amenunua, ni kumrudishia mwenye nayo tu ili haki iwe imetendeka.
Pia watu wenye mali ambazo hawana uwezo kuzielezea, waporwe. kwa RC aliyekaa muda mchache kiasi kile kununua jumba la gorofa Mikocheni, na hana mkopo, hana biashara, sio rahisi. aonyeshe wapi alipata hizo hela. hili lifanyike kwa wale wanyanyasaji wote ili kukomesha lisije kutokea tena mbeleni.
1. Bashite
2. Sabaya
3. Gambo
4. Mnyeti
5. Chalamila na wengine kama kina Ally Hapi though huyo sina uhakika sana.
Wengi waliishi kwa kupora mali za watu. Serikali ikisema itangaze wajitokeze watajaa uwanja. cha kufanya, kwamfano lile la Bashite, kwa nyumba ya mikocheni ni wazi hawawezi kuwa walilipana kwa cash ya mkononi, lazima pesa ni nyingi waliweka bank.
Wamwambie tu Bashite aonyeshe transaction aliyoifanya kudeposit pesa kwa GSM au alete hata wakili au shahidi yeyote kama atajitokeza. wakiona hakuna transaction yeyote aliyoifanya ila analazimisha kwamba amenunua, ni kumrudishia mwenye nayo tu ili haki iwe imetendeka.
Pia watu wenye mali ambazo hawana uwezo kuzielezea, waporwe. kwa RC aliyekaa muda mchache kiasi kile kununua jumba la gorofa Mikocheni, na hana mkopo, hana biashara, sio rahisi. aonyeshe wapi alipata hizo hela. hili lifanyike kwa wale wanyanyasaji wote ili kukomesha lisije kutokea tena mbeleni.