Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Waliokufa kwa kuchukuliwa pesa zao mbona wengi.Habari hii iliwahi kuandikwa wapi mkuu?
Mfanyabiashara huyo anaitwa nani?
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Ndani ya miaka 6 ya utawala wa chuma jumla ya matajiri wakubwa nchini walikufa unahisi nini kilichoharakisha vifo vyao.