Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Actions speaks louder than words, kwa kuangalia zile clips za uokoaji unapata picha cabin crew awakujua nini chakufanya.

Ata ukisikiliza abiria waliopona mmoja anasimulia maji mpaka yameanza kuwafika mabegani ndio cabin crew mmoja akakumbuka kufungua emergency door.

Milango ya ndege za abiria ina sliding floaters for emergency use unapofungua floaters kwenye maji ndege inakuwa na muda wa kuelea, kuweza kutoa watu wote, hakuna abiria alievaa life jacket na kutolewa kwa life raft ya kuwawekea watu wakati wanasubiri kuokolewa.

Tatizo kubwa hapo ni precision air had they deployed emergency evacuation procedures kusingekuwa na vifo; wavuvi wamefika ndege aija-jaa maji ila milango bado aijafunguliwa.

Lawama number moja kwa watu waliesababisha vifo vinavyoepukika ni Precision Air.
 
Naanza kuamini kuna namna ya vita ya kibiashara juu ya hili 🤔🤔🤔
 
Badala iongee wizara ya uchukuzi, shirika la usafiri wa anga tz , ana ongea msemaji wa serikali Ambae kitaaluma NI jonalist, Ila amesema black box imeonekana,
Na vyombo vya usalama wa anga from foreign countries,vimekuja kufanya uchunguzi.
Tuna taka serikali yetu isiingilie huu uchunguzi, iache mamlaka ifanye KAZ yake
 
Kila mtu humu mtaalamu, Hadi raha
Unaishi zama za age of information and information is power. Ukiingia youtube kuna academics wanafundisha ‘special relatively’ from scratch na hesabu zake ushindwe wewe tu kuelewa if understanding astrophysics is your thing.

Kama hujui hesabu huko huko YouTube kuna watu wanakupa route yote ya modules muhimu zote hadi kuwa mathetacian, na vitabu vya kununua from elementary mpaka final degrees. Better still kuna lecturers kibao wakukufundisha kila module utakayoamua kuisoma na ukiona lecture mmoja umuelewi kuna zaidi ya kumi wengine ni wewe kuchagua yupi Mwalimu mzuri.

Sasa itakuwa hizo videos za emergency training kweli za ndege sio tu kwamba kuna video za mashirika mbali mbali za training, bali na video za ajali zenyewe chungu mzima. Kuna video za ndege luluki ambazo engine zinawaka moto zinakimbilia kutua majini na watu wote wanatoka salama; mara zote wanaofika wa kwanza ni civilians.

Dunia ya leo kukubali kulishwa mawazo ya watu wengine kwa tafsiri yangu ni uvivu wa kujifunza tu au kushinda kusikiliza habari za ujinga mitandaoni sijui mpuuzi gani kafanya nini.
 
Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU
Kwa hiyo, tume ya uchunguzi tuifute na tufanye maamuzi kupitia ripoti yako hii?

Waswahili tuna shida gani jamani? Shusha adrenaline yako kwanza ili upate nafasi nzuri ya kudadavua mambo. Ni hilo tu nakuomba ufanye!!!
 
Kwa hiyo, tume ya uchunguzi tuifute na tufanye maamuzi kupitia ripoti yako hii?

Waswahili tuna shida gani jamani? Shusha adrenaline yako kwanza ili upate nafasi nzuri ya kudadavua mambo. Ni hilo tu nakuomba ufanye!!!
tume ya nini wakati kila kitu kipo wazi.
 
camera kwenye nyumba ya Lissu hadi wa leo hazijaonekanaga itakuwa hiyo black box ? huijui bongo wewe.
Sio camera tu hadi dereva leo hii hajulikani yupo wapi. Tupo sawa hapo?
 
Sio camera tu hadi dereva leo hii hajulikani yupo wapi. Tupo sawa hapo?
yeah, hadi dereva atakapopatikana ndiyo uchunguzi utaanza, kama hatapatikana basi na uchunguzi wa tukio zima haupo kwa mujibu wa Police Bongo movie sababu Dereva ana nyaraka zote za kesi.
 
Kuna mwamba mmoja ni mchaga amesomea mambo ya uhasibu alipata kazi kwenye hili shirika miaka kama 7 hivi iliyopita.
Ghafla jamaa akawa tajiri na kazi akaacha, ila za chini ya kapeti inasekana jamaa na wenzake kama 3 walipita na milioni kama 400 za shirika!
 
Sasa matatizo uliyotaja hayapo kwenye airlines nyingine?
Alafu mental maturity is very subjective labda kama ungekuwa na approved testing kits

Yapo wapi ?

Subjective is overstatement , pole
 
Uchunguzi ni muhimu sana, ila shida huwa inakuwa kwenye matokeo ya uchunguzi, yakuwa yamejaa siasa kuliko utaalamu na hivyo kupindisha ukweli. Pia tukumbuke kuna maslahi ya watu kwenye hii biashara.

Umeongea vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…