Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka


Asante kwa maelezo mazuri. Seems wewe ni expert. Nakiri kuwa kuna shida kwenye huu mlolongo mzima .

Na Ikama kulikuwa na communication kati ya Ruban na Crew yake ndani ya ndege , milango ya Emergency yote ilitakiwa iwe standby huku wahudumu wakitoa maelezo nini cha kufanya.

Naamini kama kungekuwa na hizi efforts , tungekuwa na majeraha tu.

Inaonekana hata team ya Precision haikujua nini cha kufanya aidha kwa kutokujua ruban anapanga kufanya nini au kwa kukosa Experience ya haya mambo.

Nimeambiwa na moja wa mtu wa usalama wa eneo lile kuwa , ndani ya ile ndege mmoja wa wahudumu nae alikuwa ana struggle mpaka dogo alipokuja kuvunja mlango nae ndio akachomoka.

Mkurugenzi wa Precision akamatwe na awe chini ya ulinzi.

Kwa maelezo hapo juu ni wazi kuwa hata rubani hakujua anafanya nini , maana anayo access ya kufungua Emergency doors palepale kwenye Dashboard yake .... Kama hakuweza kufanya hivyo seems hitilafu imetokea out of knowing.

Lakini pia Inawezekana Mafuta yalikata na ndio maana akawa anashindwa kurudi mwanza , akawa ana force kutua pale ......

The other thing .. timu ya mawasiliano nchii kavu ikamatwe na iwekwe chini ya ulinzi ,

kuna uhuni umefanyika. Watu wa kwanza kujua kuwa hii ndege inadondoka Soon ni watu wa mawasiliano ya nchi kavu , ilitegemewa wafike eneo la tukio a minute baada ya ndege kudondoka.... wamefika pale 50 minutes baadae kuja kutoa maiti .....

Nimezikagua maiti zote, hakuna maiti ambayo ina injury au heavy bleeding ... maiti zimetoka safi Na nzima . The likelihood kuwa walizidiwa na maji na kukosa hewa ni asilimia 100%. Maana nyingine zilikuwa zimevimba.... hata Rubaga mwili wake umeathiriwa na maji.

Kwenye ndege velocity ya maji kuingia ndani ya ndege ilikuwa ni ndogo but exponentially

Nasema hili shirika lifungiwe ndio tuanze kujadili .... ni criminals and they need to be investigated na kupelekwa Polisi na mahakamani
 
Track record ya hizi ndege za Ufaransa type ATR-42 huwa sio nzuri hata kidogo, ndio maana mimi huwa sizipandi kabisa, niliwahi kuona moja inagehuka ghafla upside down in mid air, defying all laws of physics!!! Nyingine kukatika sehemu mbili katikati huku ikiwa safarini hiyo ni structural failure/metal fatique ya aina gani?? Sizisemi vibaya hilo ni angalizo, lakini kumbukeni mwisho mwa siku akili kichwani mwako.
 

Sawa kabisa
 
Pamoja na maekezo marefu inaonekana kuna chuki binafsi na Precision Air na uongozi wake. Too biased analysis. Much exegerations!

Mbona train za TRC zikidondoka na kuua kwa ubovu wa miundombinu sijasikia Waziri wa Usafirishaji akitiwa ndani au Shirika likifungiwa.

Hivi mmiliki wa Kampuni ya ndege awekwe ndani kisa ndege imepata ajali.

Really!!

Au hii ni chuki kwa Private Sector players au mbinu za competition ya abiria?

Sjui ni Ujamaa na Kujitegemea ndio bado umeacha hangover kwa baadhi yetu au ni nini.

Ajali ikitokea Shirikala Umma inchukuliwa kuwa ni bahati mbaya:; Ila kwa private Company mmiliki akamatwe[emoji174]

Bongo bado bongolala tuko wengi.
Hamjajua dunia ya leo inaendeshwa na PRIVATE sector.
Corporate world ndiyo injini ya uchumi wa dunia.

Elimika.
 
Acheni figisu bwana,tusubiri uchunguzi ukamilike mambo yawe hadharani,ajali inakupata sehemu yeyote na mda wowote haswaa hizi ndege ndo kabsa hazitabiriki niliwahi kupanda Rwanda air 2019 alfajir tunatua Kigali matairi yakagoma kutoka tukazungushwa wee kama dk 15 hadi badae ndege ilivyokuja kutoa matairi iliporomoka mpaka tukagonga vichwa kwenye viti na tairi kupasuka.Sasa sijui na hii ungesemaje.Kiufupi tu ni kuwa tayari safari yako ikifika kwenda kwa mola wako imefika whether ni baiskeli au guta utakufa tu.
 

Stop complaining. Acha kulalamika na kulialia Kama baby ....

Boy , kinachojadiliwa hapa ni uzembe wa shirika kwa many failures kuanzia timu ya ndani kwenye first aid na namna ya kuhandle Emergency kama ile . Ile ilikuwa ni ajali ndogo sana kuua watu 19 .

Stop being subjective and stop seeing the world as you were conditioned to see it . See the world as it really is ,Boy
 

You are complaining
 

Hatuwezi kuwa Na vijana km ww ni hasara kwa taifa. Kuwa siku yako ikifika ndio unakufa Tu ?
What a shame and poor reasoning
 
Kuna kiwanja cha ndege mikoa ya kusini jina nimesahau niliambiwa abiria huwa wanakaa chini ya mti kusubiria ndege.
 
Ndio Rost Tamu anavyotaka nini?
 
Maneno yako tu ndio tuyaamini? Subiri uchunguzi taarifa itatolewa uzuri wa ajali za ndege uchunguzi ni comprehensive na hujumuisha taasisi kibao akiwamo na manufacturer l.
Tanzania ni nchi ya hovyo 100% hicho ulichoandika ni nadharia tu hakuna kitakachofanyika.
 
Pale bukoba maafisa wa mawasiliano ya nchi kavu wa ndege ni wapuuzi sana. Mwaka 2014 wakati tunasubiri ndege itue iliyokuwa inatokea mwanza na jamaa katupanga kuwa ndege itatua ndani ya dakika kumi baadae anaanza Naye kushangaa et kwanini haifiki. Kusubiri wee kumbe ndege imeamua kurudi mwanza kwa sababu ya hali ya hewa. Jamaa wapowapo tu.
 
Kwanini umeanzisha uzi haraka haraka kwa kichwa cha habari "Serikali isimamishe shughuli za Preision Air haraka" few hours after the accident...?

By the way, hoja zako zote unazojenga kuishawishi serikali ilifungie shirika hili hazina any scientific proof bali ni maoni na hisia zako tu....

I doubt that hii kitu probably ni hujuma za kibiashara tu toka Air Tanzania dhidi ya Preision Air na pengine mnataka kuitoa kwenye soko kampuni hii kama mlivyofanya kwa FastJet few year ago...

Hizi nyuzi zenu za "wafungiwe", "washitakiwe", simamisha shuguli za Preision Air" kabla hata ya uchunguzi wa kisayansi kukamilika + mazingira ya ajali yenyewe ilivyotokea na kuchelewa kwa vyombo vya uokozi vya serikali kwa zaidi ya masaa manne kufika kwenye tukio, inaweza kuwa ni uthibitisho wa hujuma na njama hizi...!!

Kwa hiyo, pls don't rush things. Don't be pessimistic. Subiri ripoti ya uchunguzi ya kitaalamu ndiyo tuhukumu...
 

Starting with KWANINI kwenye first paragraph shows how faster you are than the wisdom itself.

Talking about scientific proof is manipulation of the subject matter.

Hata science ilianza na personal experiences to bring truth on earth.

99% ya Imani yako ime base kwenye history na personal experience.........henceforth, Una guts gani za kusema ni maoni yako tu..... did you even read the comments?

Well , based on personal experience and other’s experience, ndege za Precision Air probably zimesha Expiry na ndio maana tumeishauri serikali kufanya age analysis.

Kwamba unataka kuniambia hakuna siku pale KIA tairi ya ndege ilipata pancha ? Ask them ,

Kwamba unataka kusema pale Tabora ndege haikushindwa kuchomoa tairi ? For 30min tupo hewani tuna strungle, what if mafuta yangekata at that moment ?

Kwamba unataka kusema pale JNIA tairi zenu hazikuwaka moto ? Je mlijibu nini ?

Kwamba unataka kusema hakuna siku watu tumetoka pale JNIA mpaka KIA huku injini moja haifanyi kazi ....?

Then What else utakachotumia kupata proof ?

Kwamba Unataka kusema hamjaari injia ambao background yao walisomea ufundi wa MAGARI , au unataka tutaje majina yao hapa ambao background yao ni Automobile Mechanical ,

We Mzee hebu tumia akili yako sawasawa... we are not making politics here ,

do you know mmeacha wajane wangapi,

do you know mmekatisha ndoto za dreamers wangapi,

do you know mmeacha mayatima wangapi just for your own inefficiencies kwenye business

Kabla hatujaanza kuilaumu the government, tunataka majibu kwenu kwanza.

Ndani ya dakika 30, tangu ndege kuanguka wahudumu wenu baadhi yao were all fine, kwa experience yao walipaswa kujua namna ya kusaidia ikiwa ni pamoja na kufungua milango ya Emergency Door. Baada ya dogo kuvunja mlango wa Emergency, muhudumu wenu nae akachomoka bila ya kujua code of conduct zinamtaka afanye nini ..... Hii ni ishara kuwa crew yenu haijawahi kuwa trained hata siku moja.

Kama Rubaga alikuwa anajua wazi kuwa anakwenda kutua kwenye maji, alitakiwa kuandaa watu ikiwa ni pamoja na ku unlock all Emergency Doors. Rubaga amefariki dakika 40 baada ya ndege kuanguka, ndani ya ndege kulikuwa na muhudumu ambae tunaamini ana Technical Experience za Emergency Issue ...... hata huyo nae ambae alipaswa kuwa na confidence na kufungua milango ..... matokeo yake alikimbia.

Tunataka ku review upya utendaji wenu na ndege mnazotumia kama bado zina kidhi vigezo. Hatutaki business as usual.

Ndege zenu zote zinatakiwa kufanyiwa disposal , tunajua kuwa mnatumia used spares to fix hizo pancha na matatizo ya injini and that scares us most .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…