Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Kuna mwamba mmoja ni mchaga amesomea mambo ya uhasibu alipata kazi kwenye hili shirika miaka kama 7 hivi iliyopita.
Ghafla jamaa akawa tajiri na kazi akaacha, ila za chini ya kapeti inasekana jamaa na wenzake kama 3 walipita na milioni kama 400 za shirika!

Good for him
 
Kwa hiyo, tume ya uchunguzi tuifute na tufanye maamuzi kupitia ripoti yako hii?

Waswahili tuna shida gani jamani? Shusha adrenaline yako kwanza ili upate nafasi nzuri ya kudadavua mambo. Ni hilo tu nakuomba ufanye!!!

The word adrenaline ume misuse, pole

Halafu Kwenye post , hakuna sehemu nime mention tume, why did you mention it ? Ni matumizi mabaya ya resources . Nakushauri usirudie tena
 
Naanza kuamini kuna namna ya vita ya kibiashara juu ya hili [emoji848][emoji848][emoji848]

You have wrong idea kijana.

Wisdom has been chasing you but you have always been faster.

Pole.
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.

Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Wivu kwa sababu Yuko Rostam..

Wewe na abiria Kama huyu Larry wa CNN anayesema ndege ni salama na amesafiria Mara nyingi tumuamini Nani labda?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221108-114040.png
    Screenshot_20221108-114040.png
    157.8 KB · Views: 3
Actions speaks louder than words, kwa kuangalia zile clips za uokoaji unapata picha cabin crew awakujua nini chakufanya.

Ata ukisikiliza abiria waliopona mmoja anasimulia maji mpaka yameanza kuwafika mabegani ndio cabin crew mmoja akakumbuka kufungua emergency door.

Milango ya ndege za abiria ina sliding floaters for emergency use unapofungua floaters kwenye maji ndege inakuwa na muda wa kuelea, kuweza kutoa watu wote, hakuna abiria alievaa life jacket na kutolewa kwa life raft ya kuwawekea watu wakati wanasubiri kuokolewa.

Tatizo kubwa hapo ni precision air had they deployed emergency evacuation procedures kusingekuwa na vifo; wavuvi wamefika ndege aija-jaa maji ila milango bado aijafunguliwa.

Lawama number moja kwa watu waliesababisha vifo vinavyoepukika ni Precision Air.

Asante. Umeongea vema.

Taarifa zisizo rasmi kutoka kwa hao waliopona zinasema kwamba , within 30 minutes Tangu ndege kudondoka almost kila mtu alikuwa mzima. Hata Rubani alikuwa mzima .

Yule dogo alitaka kumuokoa ruban for 15 minutes , he was finding way out huku rubani akimpa instruction dogo nini cha kufanya.

Taarifa zinadai kwamba within 30 minutes za ndege kudondoka, rubani alikuwa bado anafanya mawasiliano na watu wa nchi kavu, akawa anawaambia fanyeni haraka maji yanaanza kuingia ndani .......

Yule dogo hakuwa na vifaa vya kuvunjia zile front spaces na mwisho wa siku , walipokuja waokoaji wakamzuia dogo kufanya lolote ... it is in those minutes ndio rubani na VIP seats walikuwa wanamalizia pumzi yao ya mwisho, only to find out kuwa maji yalikuwa yameshawafunika.

Hivyo utaona wazi Zile Emergency procedures hata wahudumu hawakuzifuata.

Hili shirika kuna maupuuzi mengi ndani yake ..., kwanza hawa walaumiwe for non-compliance kisha tuje kwa serikali
 
Nimeyashuhudia matendo ya kishetani, hiki kiherehere chako cha kutoa hoja ya kusimamishwa Precision Air kabla hata ripoti ya uchunguzi wa chanzo cha ajali kutoka ndiyo inathibitisha nia yenu ovu na ndiyo ushetani wenyewe huo.

Kama umeshududia basi wewe ni miongoni mwao .
 
Asante. Umeongea vema.

Taarifa zisizo rasmi kutoka kwa hao waliopona zinasema kwamba , within 30 minutes Tangu ndege kudondoka almost kila mtu alikuwa mzima. Hata Rubani alikuwa mzima .

Yule dogo alitaka kumuokoa ruban for 15 minutes , he was finding way out huku rubani akimpa instruction dogo nini cha kufanya.

Taarifa zinadai kwamba within 30 minutes za ndege kudondoka, rubani alikuwa bado anafanya mawasiliano na watu wa nchi kavu, akawa anawaambia fanyeni haraka maji yanaanza kuingia ndani .......

Yule dogo hakuwa na vifaa vya kuvunjia zile front spaces na mwisho wa siku , walipokuja waokoaji wakamzuia dogo kufanya lolote ... it is in those minutes ndio rubani na VIP seats walikuwa wanamalizia pumzi yao ya mwisho, only to find out kuwa maji yalikuwa yameshawafunika.

Hivyo utaona wazi Zile Emergency procedures hata wahudumu hawakuzifuata.

Hili shirika kuna maupuuzi mengi ndani yake ..., kwanza hawa walaumiwe for non-compliance kisha tuje kwa serikali
Exactly
 
Maneno yako tu ndio tuyaamini? Subiri uchunguzi taarifa itatolewa uzuri wa ajali za ndege uchunguzi ni comprehensive na hujumuisha taasisi kibao akiwamo na manufacturer l.
RUHUSU ROHO ZA MAREHEMU ZIPUMIIKE KWA AMANI.....
FRM EXP MTU AMBAE ANGETOA UKWELI RUBANI KAMA ANGEPONA.....KWENYE NDEGE KUNA SPARE ZINAITWA GO ITEMS N NO GO ITEMS
HIZI RUBAN ANAANGALIA KABRASHA ZAKE KAMA INAMRUHUSU KWENDA MA LAH
SHIDA KUBWA INAYOTESA MARUBANI ENGN AKIAMBIWA HII SPARE N SHIDA WANAANZA PGIANA SIMU UKO JUU RUBANI UNABAKI KUWA MSUKULE WA MA ENGN....

BINAFSI NINGEANZA KUMHOJI YULE ALIESALIMIKA AMBAPO AKIWA HOSPT AKASEMA MPAKA WANASHUKA ANANGALIA MATAIRI HAYAJATOKA NJE AKAJISOGEZA ENEO LA KUTOKEA

HAPA TUNGEANXA KUJUA SABABU YA KWANXA N IPI ....WELL MNAWEZA SEMA HALI YA HEWA..ILA RUBANI FST CHOICE TAIRI AZITOKI ANA RUDI JUU AKIJARIBU TENA BAHATI YAKE MMIMEGOMA ANANGALIA MAFUTA YANAMRUHUSU KUZUNGUKA JUU AKISUBIIRIA KAMA YATATOKA NJE TAIRI....

..IKIGOMA N KUIPELEKA KWENYE MAJI
UKISHUKA CHINI ARDHINI UWEZO WA KUWA KA MOTO N MKUBWA NA MOTO UNAANZIA KWA RUBANI...MUNGU AWALAZE PEMA PEPONI WOTE

USHAURI
HUWA TAA WANAMAZOEZI YA EMERGENCY NA HATA AMBULANCE KUPITA MTAANX WASIOJUA UNAWEZA HISI AJALI

MAZOEZI HAYA YAFANYIKE NA KWENYE MAJI PIA NDEGE IKIWA JUU ..UKIANGALIA WAFANYAKAZI WA NDEGE NDANI WA KWANZA KUJUA HALI SIO.RUBAN AKIFIKA KIMO FULAN ANACOMAND EVACUATION

AJABU MAJALIWA AAWAFUNGULIA MLANGO WAKATI WAO NDIO WA KWANZA KUFUNGUA EMERGENCY DOOR NA KUKAA PALE KWENYE WING WAKIVUTA WALIO NA FLJKT KURUKA KWENYE MAJI UKIONA INA SINK UNARUHUSIWA KUANZA NA KUWAACHIA WALIOBAKIA WAPAMBANE NA HALI ZAO.

.SWALI WALITANGAZIWA NA RUBAN KUFUNGUA MLANGO??ANAJUA RUBAN NA CREW WALIOPONA

2.KAMA WALITANGAZIWA IWEJE AWAKAFUNGUA MLANGO WAKATI NDEGE KABLA YA KUONDOKA WANAPEWA ABIRIA DEMO YA KURUKA WAKIWA WANA EMERGENCY KWA MAJI NA NCHI KAVU...NYWAY EMERGENCY HAINA ADBU PENGINE HATA WALIFAINT WALIPOPELEKWA TAARIFA KUFUNGUA MLANGO..POLEN MA CREW WOTE.......

HIZI NDEGE ZIPELEKE CREW KWENYE MAZOEZI YA MAJI KINA KIFUPI WARUKIE HUMO TUSISUBIRI KUZAMA ZIWAN....
RIP ALL
 
Kuna mwamba mmoja ni mchaga amesomea mambo ya uhasibu alipata kazi kwenye hili shirika miaka kama 7 hivi iliyopita.
Ghafla jamaa akawa tajiri na kazi akaacha, ila za chini ya kapeti inasekana jamaa na wenzake kama 3 walipita na milioni kama 400 za shirika!
Wacha umaskini we kada Sasa milioni 400 kwa watu wa3 ni pesa gani ya kumfanya huyo mwamba awe tajiri kiasi Cha kufikia kuja kusimulia humu[emoji3061]
 
RUHUSU ROHO ZA MAREHEMU ZIPUMIIKE KWA AMANI.....
FRM EXP MTU AMBAE ANGETOA UKWELI RUBANI KAMA ANGEPONA.....KWENYE NDEGE KUNA SPARE ZINAITWA GO ITEMS N NO GO ITEMS
HIZI RUBAN ANAANGALIA KABRASHA ZAKE KAMA INAMRUHUSU KWENDA MA LAH
SHIDA KUBWA INAYOTESA MARUBANI ENGN AKIAMBIWA HII SPARE N SHIDA WANAANZA PGIANA SIMU UKO JUU RUBANI UNABAKI KUWA MSUKULE WA MA ENGN....

BINAFSI NINGEANZA KUMHOJI YULE ALIESALIMIKA AMBAPO AKIWA HOSPT AKASEMA MPAKA WANASHUKA ANANGALIA MATAIRI HAYAJATOKA NJE AKAJISOGEZA ENEO LA KUTOKEA

HAPA TUNGEANXA KUJUA SABABU YA KWANXA N IPI ....WELL MNAWEZA SEMA HALI YA HEWA..ILA RUBANI FST CHOICE TAIRI AZITOKI ANA RUDI JUU AKIJARIBU TENA BAHATI YAKE MMIMEGOMA ANANGALIA MAFUTA YANAMRUHUSU KUZUNGUKA JUU AKISUBIIRIA KAMA YATATOKA NJE TAIRI....

..IKIGOMA N KUIPELEKA KWENYE MAJI
UKISHUKA CHINI ARDHINI UWEZO WA KUWA KA MOTO N MKUBWA NA MOTO UNAANZIA KWA RUBANI...MUNGU AWALAZE PEMA PEPONI WOTE

USHAURI
HUWA TAA WANAMAZOEZI YA EMERGENCY NA HATA AMBULANCE KUPITA MTAANX WASIOJUA UNAWEZA HISI AJALI

MAZOEZI HAYA YAFANYIKE NA KWENYE MAJI PIA NDEGE IKIWA JUU ..UKIANGALIA WAFANYAKAZI WA NDEGE NDANI WA KWANZA KUJUA HALI SIO.RUBAN AKIFIKA KIMO FULAN ANACOMAND EVACUATION

AJABU MAJALIWA AAWAFUNGULIA MLANGO WAKATI WAO NDIO WA KWANZA KUFUNGUA EMERGENCY DOOR NA KUKAA PALE KWENYE WING WAKIVUTA WALIO NA FLJKT KURUKA KWENYE MAJI UKIONA INA SINK UNARUHUSIWA KUANZA NA KUWAACHIA WALIOBAKIA WAPAMBANE NA HALI ZAO.

.SWALI WALITANGAZIWA NA RUBAN KUFUNGUA MLANGO??ANAJUA RUBAN NA CREW WALIOPONA

2.KAMA WALITANGAZIWA IWEJE AWAKAFUNGUA MLANGO WAKATI NDEGE KABLA YA KUONDOKA WANAPEWA ABIRIA DEMO YA KURUKA WAKIWA WANA EMERGENCY KWA MAJI NA NCHI KAVU...NYWAY EMERGENCY HAINA ADBU PENGINE HATA WALIFAINT WALIPOPELEKWA TAARIFA KUFUNGUA MLANGO..POLEN MA CREW WOTE.......

HIZI NDEGE ZIPELEKE CREW KWENYE MAZOEZI YA MAJI KINA KIFUPI WARUKIE HUMO TUSISUBIRI KUZAMA ZIWAN....
RIP ALL
Limuandiko libaya hadi macho yanauma[emoji3061]
 
RUHUSU ROHO ZA MAREHEMU ZIPUMIIKE KWA AMANI.....
FRM EXP MTU AMBAE ANGETOA UKWELI RUBANI KAMA ANGEPONA.....KWENYE NDEGE KUNA SPARE ZINAITWA GO ITEMS N NO GO ITEMS
HIZI RUBAN ANAANGALIA KABRASHA ZAKE KAMA INAMRUHUSU KWENDA MA LAH
SHIDA KUBWA INAYOTESA MARUBANI ENGN AKIAMBIWA HII SPARE N SHIDA WANAANZA PGIANA SIMU UKO JUU RUBANI UNABAKI KUWA MSUKULE WA MA ENGN....

BINAFSI NINGEANZA KUMHOJI YULE ALIESALIMIKA AMBAPO AKIWA HOSPT AKASEMA MPAKA WANASHUKA ANANGALIA MATAIRI HAYAJATOKA NJE AKAJISOGEZA ENEO LA KUTOKEA

HAPA TUNGEANXA KUJUA SABABU YA KWANXA N IPI ....WELL MNAWEZA SEMA HALI YA HEWA..ILA RUBANI FST CHOICE TAIRI AZITOKI ANA RUDI JUU AKIJARIBU TENA BAHATI YAKE MMIMEGOMA ANANGALIA MAFUTA YANAMRUHUSU KUZUNGUKA JUU AKISUBIIRIA KAMA YATATOKA NJE TAIRI....

..IKIGOMA N KUIPELEKA KWENYE MAJI
UKISHUKA CHINI ARDHINI UWEZO WA KUWA KA MOTO N MKUBWA NA MOTO UNAANZIA KWA RUBANI...MUNGU AWALAZE PEMA PEPONI WOTE

USHAURI
HUWA TAA WANAMAZOEZI YA EMERGENCY NA HATA AMBULANCE KUPITA MTAANX WASIOJUA UNAWEZA HISI AJALI

MAZOEZI HAYA YAFANYIKE NA KWENYE MAJI PIA NDEGE IKIWA JUU ..UKIANGALIA WAFANYAKAZI WA NDEGE NDANI WA KWANZA KUJUA HALI SIO.RUBAN AKIFIKA KIMO FULAN ANACOMAND EVACUATION

AJABU MAJALIWA AAWAFUNGULIA MLANGO WAKATI WAO NDIO WA KWANZA KUFUNGUA EMERGENCY DOOR NA KUKAA PALE KWENYE WING WAKIVUTA WALIO NA FLJKT KURUKA KWENYE MAJI UKIONA INA SINK UNARUHUSIWA KUANZA NA KUWAACHIA WALIOBAKIA WAPAMBANE NA HALI ZAO.

.SWALI WALITANGAZIWA NA RUBAN KUFUNGUA MLANGO??ANAJUA RUBAN NA CREW WALIOPONA

2.KAMA WALITANGAZIWA IWEJE AWAKAFUNGUA MLANGO WAKATI NDEGE KABLA YA KUONDOKA WANAPEWA ABIRIA DEMO YA KURUKA WAKIWA WANA EMERGENCY KWA MAJI NA NCHI KAVU...NYWAY EMERGENCY HAINA ADBU PENGINE HATA WALIFAINT WALIPOPELEKWA TAARIFA KUFUNGUA MLANGO..POLEN MA CREW WOTE.......

HIZI NDEGE ZIPELEKE CREW KWENYE MAZOEZI YA MAJI KINA KIFUPI WARUKIE HUMO TUSISUBIRI KUZAMA ZIWAN....
RIP ALL
hoja zako madhubuti kabisa. Inaonekana ni mtu wa mambo hayo wewe
 
Back
Top Bottom