Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

ONDOA UNAFKI WAKO HAPA WE MBWEHA.

MBONA KILA SIKU MABASI YANAUA WATU NA HATUWAONI MKISHIKILIA MABANGO HUMU , AU HAO WANAOFIA BARABARANI NAO SIYO WATU ?

Barabara sio ndege
 
Ukosahihi ndege zimefukuzwa marekani zinafanya rut nchini Tanzania mitumba tutatumia mpaka ituue Sana ndipo tushituke
Ukiwa huna fedha ya kuingia Samora Avenue kwa maduka ya ki Boutique utaisha Ila kwenye mitumba ujiseritiri. Ujue tu.kuchagua vema usichukuw maronya!!

Air travel is not only a highly regulated but also the safest means of transport.

Ndege imeua 19 tangu tupate Uhuru ndio mbengambenga nyingiiiii kama vile imeua.maelfu!
Barabarani wananchiwanachinjwa kila dakika na ajali za magari na boda tunaona kawaida!!.
Au kwa vile ndege wanapanda wenye nafasi zao (nikiwemo)!!

Tumelogwa!!

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.

Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Duh !
 
Ukiwa huna fedha ya kuingia Samora Avenue kwa maduka ya ki Boutique utaisha Ila kwenye mitumba ujiseritiri. Ujue tu.kuchagua vema usichukuw maronya!!

Air travel is not only a highly regulated but also the safest means of transport.

Ndege imeua 19 tangu tupate Uhuru ndio mbengambenga nyingiiiii kama vile imeua.maelfu!
Barabarani wananchiwanachinjwa kila dakika na ajali za magari na boda tunaona kawaida!!.
Au kwa vile ndege wanapanda wenye nafasi zao (nikiwemo)!!

Tumelogwa!!

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app

Hapa hatushindanishi ni usafiri gani una ua zaidi.
Focus kwenye content , everything is there depend on how you read
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.

Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Shida private sector tz wanajali faida kuliko usalama. Hata hii ajali kubwa naona kulikua na jaribio la kuzugazuga lakini haikuwezekana. Binafsi sijawahi kusafiri na precision air ila nimewahi several occassions kusoma kosakosa and then wanazidownplay.
Nakubaliana kabisa ingesimamishwa kwa muda kufanya uchunguzi kuhusu safety na maintanance record yao.
 
Maneno yako tu ndio tuyaamini? Subiri uchunguzi taarifa itatolewa uzuri wa ajali za ndege uchunguzi ni comprehensive na hujumuisha taasisi kibao akiwamo na manufacturer l.
Bado unaédelea kusubiri Uchunguzi ?
Maneno yako tu ndio tuyaamini? Subiri uchunguzi taarifa itatolewa uzuri wa ajali za ndege uchunguzi ni comprehensive na hujumuisha taasisi kibao akiwamo na manufacturer l.
Miaka mingapi sasa ? Hata kutumia akili ya kuzaliwa ni tatizo pia ?
 


Shida ni kwamba watu wengi awataki kukubali kuna protocol procedures za airline kwenye evacuation; ambazo azikifuatwa.

Na wala sio jambo la kushangaza civilians boats kufika wa kwanza in most cases if not all ndege zinazoanguka baharini.

Kuna watu wengi wa kulaumu ila mshitakiwa wa kwanza kama kuna kesi ya negligence mahakamani ni precision air.

Kuna video nyingi you tube za mashirika ya ndege wakitoa training kwa cabin crews on evacuation procedures. Na kuna video za ndege nyingi zilizotua majini kwa dharura kuona how that training was executed.

Precision Air is blameworthy

Watz tunauana wenyewe na mamlaka
 
Back
Top Bottom