Serikali isipowakamata na kuwafikisha mahakamani wezi wa mabilioni haya basi wafungwa wote magerezani waachiwe, wanaonewa!

Serikali isipowakamata na kuwafikisha mahakamani wezi wa mabilioni haya basi wafungwa wote magerezani waachiwe, wanaonewa!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nina uhakika hakuna mtanzania anapenda kuonewa, lakini hii tabia ya Kila mwaka CAG anaeleza mabilioni yanayopigwa na wahusika wanaendelea kutamba na v8 mabarabarani ni uonevu mkubwa.

Kuna watu wanasota sana magerezani kama kina sabaya na wezi wa dagaa na kuku au tv na redio hakuna haja ya kuendelea kuwatesa watoto wa watu magerezani kwa wizi wa milioni Moja au laki mbili na hata 59000 wakati wezi wa mabilioni wapo mtaani.

Serikali iwe na huruma basi hata kidogo, kama imeamua kusamehe basi isamehe wote.
 
Wizi unachangiwa na uongozi mbovu.

CCM huwa inabaka wananchi kuwa kuiba kura na kuwaambia imeunda serikali, kumbe ni wachache wajanja wanadanganya walio wengi ili kuwaibia.

Na ccm haitaki mwanachama wenye akili kama JPM.
 
Wizi unachangiwa na uongozi mbovu.

CCM huwa inabaka wananchi kuwa kuiba kura na kuwaambia imeunda serikali, kumbe ni wachache wajanja wanadanganya walio wengi ili kuwaibia.

Na ccm haitaki mwanachama wenye akili kama JPM.
Nini kifanyike tuendelee kukaa kimya mpaka lini?
 
Nini kifanyike tuendelee kukaa kimya mpaka lini?
Katiba mpya, katiba mpya 2. Elimu kwa wananchi 3. Muungano ufutwe 4. Utawala wa imla ufutwe mfano wanawake wamepewa nafasi ambazo hawaziwezi mfano msikilize
 

Attachments

  • IMG_9209.MP4
    1.3 MB
Hata wakati wa Magufuli wizi uliokuwapo. Mtu anapopata uteuzi maneno yetu kapata ulaji.
 
Nina uhakika hakuna mtanzania anapenda kuonewa, lakini hii tabia ya Kila mwaka CAG anaeleza mabilioni yanayopigwa na wahusika wanaendelea kutamba na v8 mabarabarani ni uonevu mkubwa.

Kuna watu wanasota sana magerezani kama kina sabaya na wezi wa dagaa na kuku au tv na redio hakuna haja ya kuendelea kuwatesa watoto wa watu magerezani kwa wizi wa milioni Moja au laki mbili na hata 59000 wakati wezi wa mabilioni wapo mtaani.

Serikali iwe na huruma basi hata kidogo, kama imeamua kusamehe basi isamehe wote.
JamiiForums298906090_512x311.jpg
 
Nina uhakika hakuna mtanzania anapenda kuonewa, lakini hii tabia ya Kila mwaka CAG anaeleza mabilioni yanayopigwa na wahusika wanaendelea kutamba na v8 mabarabarani ni uonevu mkubwa.

Kuna watu wanasota sana magerezani kama kina sabaya na wezi wa dagaa na kuku au tv na redio hakuna haja ya kuendelea kuwatesa watoto wa watu magerezani kwa wizi wa milioni Moja au laki mbili na hata 59000 wakati wezi wa mabilioni wapo mtaani.

Serikali iwe na huruma basi hata kidogo, kama imeamua kusamehe basi isamehe wote.
VEO akiiba hata tofali 15 kesho TAKUKURU wanajaa kwake
 
Nina uhakika hakuna mtanzania anapenda kuonewa, lakini hii tabia ya Kila mwaka CAG anaeleza mabilioni yanayopigwa na wahusika wanaendelea kutamba na v8 mabarabarani ni uonevu mkubwa.

Kuna watu wanasota sana magerezani kama kina sabaya na wezi wa dagaa na kuku au tv na redio hakuna haja ya kuendelea kuwatesa watoto wa watu magerezani kwa wizi wa milioni Moja au laki mbili na hata 59000 wakati wezi wa mabilioni wapo mtaani.

Serikali iwe na huruma basi hata kidogo, kama imeamua kusamehe basi isamehe wote.
Nimeishia hapo ulipo andika "akina sabaya"!

Sikutaka endelea kupoteza muda kusoma huu upuuzi maana nilijua na wewe ni wale wale wasio na akili.
 
Tatizo wanauwezo wa kulipa hizo fiani na kufifisha kesi...
 
Nina uhakika hakuna mtanzania anapenda kuonewa, lakini hii tabia ya Kila mwaka CAG anaeleza mabilioni yanayopigwa na wahusika wanaendelea kutamba na v8 mabarabarani ni uonevu mkubwa.

Kuna watu wanasota sana magerezani kama kina sabaya na wezi wa dagaa na kuku au tv na redio hakuna haja ya kuendelea kuwatesa watoto wa watu magerezani kwa wizi wa milioni Moja au laki mbili na hata 59000 wakati wezi wa mabilioni wapo mtaani.

Serikali iwe na huruma basi hata kidogo, kama imeamua kusamehe basi isamehe wote.
FB_IMG_1597704304681.jpg
 
Nina uhakika hakuna mtanzania anapenda kuonewa, lakini hii tabia ya Kila mwaka CAG anaeleza mabilioni yanayopigwa na wahusika wanaendelea kutamba na v8 mabarabarani ni uonevu mkubwa.

Kuna watu wanasota sana magerezani kama kina sabaya na wezi wa dagaa na kuku au tv na redio hakuna haja ya kuendelea kuwatesa watoto wa watu magerezani kwa wizi wa milioni Moja au laki mbili na hata 59000 wakati wezi wa mabilioni wapo mtaani.

Serikali iwe na huruma basi hata kidogo, kama imeamua kusamehe basi isamehe wote.
Sirahisi kihivyo.. umesahau enzi fulani sakata la kina Lowassa, mjinga mmoja alisema wakiwataja nchi itatikisika???? wewe hapo unaweza kumtaja mtoto/mke wako????
 
Back
Top Bottom