kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Hali kwa Watanzania ni mbaya sana mifukoni kipindi hiki cha kupanda kwa bei za bidhaa zote na ongezeko la kodi.
Kuna miradi ambayo inaweza kusimama kwa muda hadi hapo vumbi litakapo tuwama. Kama serikali Ina nia nzuri ya kuwasaidia Watanzania kwa njia ya kubana matumizi basi mahali pa kuanzia ni kujenga Dodoma kipindi hiki.
Kila wizara ilikuwa na ofisi tayari Dar es Salaam tunaweza kuendelea na ofisi hizo kwasasa hadi hapo hali yetu itakapokuwa sawa.
Kuna miradi ambayo inaweza kusimama kwa muda hadi hapo vumbi litakapo tuwama. Kama serikali Ina nia nzuri ya kuwasaidia Watanzania kwa njia ya kubana matumizi basi mahali pa kuanzia ni kujenga Dodoma kipindi hiki.
Kila wizara ilikuwa na ofisi tayari Dar es Salaam tunaweza kuendelea na ofisi hizo kwasasa hadi hapo hali yetu itakapokuwa sawa.