Serikali isitishe kujenga Dodoma kwanza

Serikali isitishe kujenga Dodoma kwanza

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hali kwa Watanzania ni mbaya sana mifukoni kipindi hiki cha kupanda kwa bei za bidhaa zote na ongezeko la kodi.

Kuna miradi ambayo inaweza kusimama kwa muda hadi hapo vumbi litakapo tuwama. Kama serikali Ina nia nzuri ya kuwasaidia Watanzania kwa njia ya kubana matumizi basi mahali pa kuanzia ni kujenga Dodoma kipindi hiki.

Kila wizara ilikuwa na ofisi tayari Dar es Salaam tunaweza kuendelea na ofisi hizo kwasasa hadi hapo hali yetu itakapokuwa sawa.
 
Hali kwa Watanzania ni mbaya sana mifukoni kipindi hiki cha kupanda kwa bei za bidhaa zote na ongezeko la kodi.

Kuna miradi ambayo inaweza kusimama kwa muda hadi hapo vumbi litakapo tuwama. Kama serikali Ina nia nzuri ya kuwasaidia Watanzania kwa njia ya kubana matumizi basi mahali pa kuanzia ni kujenga Dodoma kipindi hiki.

Kila wizara ilikuwa na ofisi tayari Dar es Salaam tunaweza kuendelea na ofisi hizo kwasasa hadi hapo hali yetu itakapokuwa sawa.
Lini Hali Itakuwa sawa?
 
Hali kwa Watanzania ni mbaya sana mifukoni kipindi hiki cha kupanda kwa bei za bidhaa zote na ongezeko la kodi.

Kuna miradi ambayo inaweza kusimama kwa muda hadi hapo vumbi litakapo tuwama. Kama serikali Ina nia nzuri ya kuwasaidia Watanzania kwa njia ya kubana matumizi basi mahali pa kuanzia ni kujenga Dodoma kipindi hiki.

Kila wizara ilikuwa na ofisi tayari Dar es Salaam tunaweza kuendelea na ofisi hizo kwasasa hadi hapo hali yetu itakapokuwa sawa.
Hivi nani kawambia kwamba hali ni mbaya kwa serikali pia? wakati wana uwezo wa kukusanya pesa nyingi kutoka kwenye matozo yao, mbali mbali ambayo haikuwekwa kwenye bajeti awali.

Hali ni mbaya tu kwa raia wa kawaida na watumushi wa chini wanao pokea mishahara bila allowances mbalimbali, disposable income yao imeshuka kwasabb ya mfumuko wa bei na tozo, kwa hiyo wana kosa megi katika maisha yao ya kila siku.

Hili la kufanya wana nchi masikini ni mpango maalumu wa CCM kama nchi nyingi Africa kuweza kufanya wananchi masikini zaidi na zaidi ili wa tawalike vzri hata wakipewa rushwa ndogo ya mchvi au kanga waweze kuwapa kura zao ili waendelee kuwatawala.( make them more poor and poorer to rule them)
 
Hivi nani kawambia kwamba hali ni mbaya kwa serikali pia? wakati wana uwezo wa kukusanya pesa nyingi kutoka kwenye matozo yao, mbali mbali ambayo haikuwekwa kwenye bajeti awali.

Hali ni mbaya tu kwa raia wa kawaida na watumushi wa chini wanao pokea mishahara bila allowances mbalimbali, disposable income yao imeshuka kwasabb ya mfumuko wa bei na tozo, kwa hiyo wana kosa megi katika maisha yao ya kila siku.

Hili la kufanya wana nchi masikini ni mpango maalumu wa CCM kama nchi nyingi Africa kuweza kufanya wananchi masikini zaidi na zaidi ili wa tawalike vzri hata wakipewa rushwa ndogo ya mchvi au kanga waweze kuwapa kura zao ili waendelee kuwatawala.( make them more poor and poorer to rule them)
Dawa ni kufundishana namna nzuri ya kupiga kura. Kila mtu awe tayari kudai katiba mpya inayolinda kura yake isipotee.
 
Hali kwa Watanzania ni mbaya sana mifukoni kipindi hiki cha kupanda kwa bei za bidhaa zote na ongezeko la kodi.

Kuna miradi ambayo inaweza kusimama kwa muda hadi hapo vumbi litakapo tuwama. Kama serikali Ina nia nzuri ya kuwasaidia Watanzania kwa njia ya kubana matumizi basi mahali pa kuanzia ni kujenga Dodoma kipindi hiki.

Kila wizara ilikuwa na ofisi tayari Dar es Salaam tunaweza kuendelea na ofisi hizo kwasasa hadi hapo hali yetu itakapokuwa sawa.
Hilo haliwezekani na hiyo haipo ndio kwanza Serikali imetoa Bil.500 kukamilisha awamu ya pili ya ujenzi wa Mji wa serikali..

Mwisho sio kazi ya serikali kuwaweka pesa mifukoni mwenu..

Kama maisha ni magumu pesa ya Bando umetoa wapi?
 
Hakuna wa kukuelewa kwenye hili. Watu wanendeleza biashara zao za kandarasi za ujenzi kwa soko bandia la ujenzi lilokuwa created hapo Dodoma kwa jina la Makao Makuu ya nchi
Uache majengo ya serikali yaliyo tayari DSM ukadurufu mengine Dodoma. Uache kukusanya kodi za pango DSM uhamie Dodoma ili uwabebeshe wananchi zigo la tozo. Ni bahati mbaya sana watu hawana hofu ya Mungu wala kujua maisha hapa duniani tuwapitaji tu. Wanafanya maaumuzi kana kwamba wataishi hapa milele yote au atakuwa Waziri maisha yake yote.
 
Dawa ni kufundishana namna nzuri ya kupiga kura. Kila mtu awe tayari kudai katiba mpya inayolinda kura yake isipotee.
Nivugumu kubadili watanzania CCM au Nyerere ni kunyima watanzania elimu bora, yakuwafanya wa jutegemee kimawazo, 90% wa hawana elimu wengi walushia darasa la 7. la kukalilishwa na kusifia upuuzi wa watawala, CCM ili fanikiwa kwa 100% kufanya wa Tanzania kua mbumbumbu
 
S
ni muda muafaka sasa wa Serikali kufunga mkanda !! Tuanzie kwenye ma V8 kwanza..hapala ambapo ukitaka kuwaudhi we sema uyaondoe barabarani afu wakopeswe R4.
Siting Allowance iweTsh 50000 tu pale Bungen! Zile posho walizipandisha zishushwe zaidi
 
Hilo haliwezekani na hiyo haipo ndio kwanza Serikali imetoa Bil.500 kukamilisha awamu ya pili ya ujenzi wa Mji wa serikali..

Mwisho sio kazi ya serikali kuwaweka pesa mifukoni mwenu..

Kama maisha ni magumu pesa ya Bando umetoa wapi?
Kwani Dodoma kinafanyika nn cha ajabu?
 
Hali kwa Watanzania ni mbaya sana mifukoni kipindi hiki cha kupanda kwa bei za bidhaa zote na ongezeko la kodi.

Kuna miradi ambayo inaweza kusimama kwa muda hadi hapo vumbi litakapo tuwama. Kama serikali Ina nia nzuri ya kuwasaidia Watanzania kwa njia ya kubana matumizi basi mahali pa kuanzia ni kujenga Dodoma kipindi hiki.

Kila wizara ilikuwa na ofisi tayari Dar es Salaam tunaweza kuendelea na ofisi hizo kwasasa hadi hapo hali yetu itakapokuwa sawa.
Hakuna mradi wa ajabu ambao unakula hela nyingi kiasi cha kusababisha hela isiwepo mtaani!

We watu wanajiongezea posho leo alafu kesho wanakuja kuleta tozo! Kukaa pale bungeni wanachukua 350 000 per day alafu bado mtu anachukua Million 12 per month unategemea nn? Wajipunguzie malupulupu wao kwanza
 
Serikali ya awamu hii, wenye shida ni wale aliowaita wanyonge. Matajiri hata kilo ya unga ikiwa ten wanauhakika wakula na kusaza.
 
Hiyo sheria wataipitisha wakina nani sasa?
Sheria ya tozo au hiyo posho ya kikaoo? Zote zinapitishwa na wao wenyewe.

Sheria yoyote inayohusu masuala ya makusanyo ya fedha lazima iwe ina mkono wa Rais ambapo itapelekwa Bungeni na Waziri husika kwa maagizo ya Rais na mwisho wa siku itasainiwa na Rais mwenyewe
 
Hali kwa Watanzania ni mbaya sana mifukoni kipindi hiki cha kupanda kwa bei za bidhaa zote na ongezeko la kodi.

Kuna miradi ambayo inaweza kusimama kwa muda hadi hapo vumbi litakapo tuwama. Kama serikali Ina nia nzuri ya kuwasaidia Watanzania kwa njia ya kubana matumizi basi mahali pa kuanzia ni kujenga Dodoma kipindi hiki.

Kila wizara ilikuwa na ofisi tayari Dar es Salaam tunaweza kuendelea na ofisi hizo kwasasa hadi hapo hali yetu itakapokuwa sawa.
Ushauri wa ajabu Sana Yani unataka Sasa mawaziri warudi dar? mnaweza simamisha iyo SGR, madaraja yasiyokua na tija maana Kuna upigaji, uza mav8, punguza posho za viongozi wenu na malupulupu, punguza mishahara ya viongozi wenu, ila makao makuu DODOMA LAZIMA Yakamilike, Yani katika yote umeona kusitisha ujenzi wa makao makuu ndo suluhu,na je hao wabunge 19 wasiokua na Chama wanafanya nini bungeni?

KWANZA napendekeza makazi ya Rais yawe rasm Dodoma ikilu ya dar ikiwezekana ivunjwe Kama Serikali imekosa matumizi mbadala, maana tumechoka daily mav8 yapo barabarani dar- Dom KWa nini? Wakati Serikali ipo Dodoma ,LAZIMA makao makuu kuisha iyo haina mbadala
 
Hilo haliwezekani na hiyo haipo ndio kwanza Serikali imetoa Bil.500 kukamilisha awamu ya pili ya ujenzi wa Mji wa serikali..

Mwisho sio kazi ya serikali kuwaweka pesa mifukoni mwenu..

Kama maisha ni magumu pesa ya Bando umetoa wapi?
Kwa maisha ya Sasa bando sio anasa ni sehem ya matumizi ya KILA siku watu wanaweka bado kujipatia mkate kupitia online mfano kubet n.k we vipi?
 
Dawa ni kufundishana namna nzuri ya kupiga kura. Kila mtu awe tayari kudai katiba mpya inayolinda kura yake isipotee.

Watu kufanya hivyo mpaka waanze kushindia uji.

Bila hivyo watakuwa wanakupinga hawataki watakuuliZa maswali ya kijinga kwanini wafanye hivyo na wakati maisha mazuri tu.
 
Hilo haliwezekani na hiyo haipo ndio kwanza Serikali imetoa Bil.500 kukamilisha awamu ya pili ya ujenzi wa Mji wa serikali..

Mwisho sio kazi ya serikali kuwaweka pesa mifukoni mwenu..

Kama maisha ni magumu pesa ya Bando umetoa wapi?
Kwahiyo kazi yake ni kuzichukua mifukoni mwa wananchi Kiholela?
 
Back
Top Bottom