Serikali isiyolipa madeni yake kwa wananchi haipaswi kujinadi kuwa ni serikali tiifu

Serikali isiyolipa madeni yake kwa wananchi haipaswi kujinadi kuwa ni serikali tiifu

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Habarini,
Ni maajabu na unafiki kwa serikali iliyoko madarakani kujinadi kuwa ni TIIFU kwa wananchi wake wakati inadaiwa na haina mpango wa kuwalipa kwa sasa hasa ukizingatia nchi inaingia kwenye uchaguzi mkuu mwakani.

Hivi inakuwaje wananchi wanaoidai serikali wasilipwe lakini viongozi i.e:mawazori,wabunge,wakurugenzi,nk wanasafir kila leo na posho zao zinalipwa kama kawaida?


Sioni sababu ya wananchi wanaoidai serikali na familia zao kushiriki kwenye uchaguzi kwa kupiga kura iwapo hawajaliowa madeni yao.


Huu ni wakati wa kuonesha umuhimu wa haki za wananchi kwa Taifa.

MGOMO ndiyo huwa njia pekee ya kujipatia haki kwa kusikilizwa ili mradi tu kusiwe na uvunjifu wa sheria.

Asanteni.
 
Habarini,
Ni maajabu na unafiki kwa serikali iliyoko madarakani kujinadi kuwa ni TIIFU kwa wananchi wake wakati inadaiwa na haina mpango wa kuwalipa kwa sasa hasa ukizingatia nchi inaingia kwenye uchaguzi mkuu mwakani.

Hivi inakuwaje wananchi wanaoidai serikali wasilipwe lakini viongozi i.e:mawazori,wabunge,wakurugenzi,nk wanasafir kila leo na posho zao zinalipwa kama kawaida?


Sioni sababu ya wananchi wanaoidai serikali na familia zao kushiriki kwenye uchaguzi kwa kupiga kura iwapo hawajaliowa madeni yao.


Huu ni wakati wa kuonesha umuhimu wa haki za wananchi kwa Taifa.

MGOMO ndiyo huwa njia pekee ya kujipatia haki kwa kusikilizwa ili mradi tu kusiwe na uvunjifu wa sheria.

Asanteni.
Inaonekana wewe ni contractor... Au umeajiriwa na contractor
 
Back
Top Bottom