Serikali itangaze tarehe ya kuwarejesha vyura wa Kihansi ili wadau wa mazingira tukawapokee uwanja wa ndege

Weka video tuone
 
Nimekwambia mwaka 2010 enzi zile bado smartphones zilikuwa kidogo sana.

Vedasto Msungu ndiyo alikuwa mtoa ripoti yeye alikuwa na mwenzake akichukua video.

Ukiniambia mimi utakuwa unanionea bure.
Basi sikuonei tena.
Ila umeshawahi kukisoma kitabu cha Eat that Frog?
 
Kwa muda wote waliokaa marekani kila chura atakuwa na mizigo mingi labda serikali iwakodie lile dege la mizigo lililotua KIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…