The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Hi GreatThinkers
Hakuna namna naweza kuelezea hili tatizo. Naitaka serikali itangaze hadharani kwamba umeme umewashi.nda.
Inachukiza na kukasirisha sana kazi za billions of money zinasimama kisa umeme.
Mgao wa umeme unatishia ajira za maelfu ya watanzania huku bidhaa nazo zikipanda bei kiholelea maana production cost inaongezeka.
Sababu za kukatika umeme mpaka dakika hii hazijawekwa bayana shida hasa ni nini?..
Hiyo JNHP inaypigiwa makele ni ya juzi tu . Je umeme tuliokuwa tunatumia miaka nenda rudi umeenda wapi. Huku uzalishaji ulikuwa zaidi ya mahitajj yetu?
View attachment 2894145
[/QUOTE
Kila mtu analalamika tuuu kuanzia Rais hadi mlalahoi....tukijibiwa kitaalam hatutaki tunataka kisiasa toa yule weka huyu tatizo ni la kimfumo na miundombinu chakavu.....kila siku mahitaji yanakua zaidi ya tunachozalisha ila hatutaki tunafikiri kutengua ndio suluhisho
Jana walisema kuna hitilafu, nikajua kwavile jana yote hakukua na umeme nchi nzima basi leo itakua afadhali. Cha ajabu na leo wamekata tangu asubuhi sasa sijui ni hitilafu inaendelea au ni nini?Serikali ikubali tu kuwa imeshindwa na itangaze tu kuwa hakuna fixes, imefeli.
huyu kijana wa clip kanichekesha kipumbavu 😂😂😂😂Hi GreatThinkers
Hakuna namna naweza kuelezea hili tatizo. Naitaka serikali itangaze hadharani kwamba umeme umewashi.nda.
Inachukiza na kukasirisha sana kazi za billions of money zinasimama kisa umeme.
Mgao wa umeme unatishia ajira za maelfu ya watanzania huku bidhaa nazo zikipanda bei kiholelea maana production cost inaongezeka.
Sababu za kukatika umeme mpaka dakika hii hazijawekwa bayana shida hasa ni nini?..
Hiyo JNHP inaypigiwa makele ni ya juzi tu . Je umeme tuliokuwa tunatumia miaka nenda rudi umeenda wapi. Huku uzalishaji ulikuwa zaidi ya mahitajj yetu?
View attachment 2894145
Kuna tatizo kubwa sana nyuma ya hii kituHapa Mama atapoteza pointi nyingi sana kwasababu hili shirika
Mkuu hii ndio tafsiri halisi ya nchi masikini. Tuna umasikini wa vipato hadi fikra.Jana walisema kuna hitilafu, nikajua kwavile jana yote hakukua na umeme nchi nzima basi leo itakua afadhali. Cha ajabu na leo wamekata tangu asubuhi sasa sijui ni hitilafu inaendelea au ni nini?
Hi GreatThinkers
Hakuna namna naweza kuelezea hili tatizo. Naitaka serikali itangaze hadharani kwamba umeme umewashi.nda.
Inachukiza na kukasirisha sana kazi za billions of money zinasimama kisa umeme.
Mgao wa umeme unatishia ajira za maelfu ya watanzania huku bidhaa nazo zikipanda bei kiholelea maana production cost inaongezeka.
Sababu za kukatika umeme mpaka dakika hii hazijawekwa bayana shida hasa ni nini?..
Hiyo JNHP inaypigiwa makele ni ya juzi tu . Je umeme tuliokuwa tunatumia miaka nenda rudi umeenda wapi. Huku uzalishaji ulikuwa zaidi ya mahitajj yetu?Una hoja. Ningekuwa Rais ziara zangu, misele yangu zote zingekuwa Tanesco, maji, ardhi, mahakama, vitu
Eti leo wanasema 65% umeme wetu unatokana na gas. Je hizo mvua walikuwa wanasingizia za nini?Usikutane na machawa wa mama sasa utasikia mama anaucgaeaza mwingi ila kiufup mama nchi imemushinda