Serikali itenge siku maalum ya kitaifa kuadhimisha katiba ya nchi.

Serikali itenge siku maalum ya kitaifa kuadhimisha katiba ya nchi.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Katiba ndio kitu kinachoweka muongozo wa nchi na jinsi ya watu kuhusiana katika taifa, kwa umuhimu huo serikali itenge siku maalumu(public holiday) ya kuadhimisha na kusheherekea katiba ya nchi yetu(constitutional day) kukuza uzalendo na utaifa wa taifa. Ni muhumu siku hiyo ikawa katikati ya wiki kuongeza hamasa.
 
Katiba ndio kitu kinachoweka muongozo wa nchi na jinsi ya watu kuhusiana katika taifa, kwa umuhimu huo serikali itenge siku maalumu(public holiday) ya kuadhimisha na kusheherekea katiba ya nchi yetu(constitutional day) kukuza uzalendo na utaifa wa taifa. Ni muhumu siku hiyo ikawa katikati ya wiki kuongeza hamasa.
Hiyo Katiba ina uzuri gani hasa hadi itengewe siku yake ya maadhimisho?
Kwa jema lipi hasa?

"Katiba si ndio kijitabu tu."
 
Katiba ndio kitu kinachoweka muongozo wa nchi na jinsi ya watu kuhusiana katika taifa, kwa umuhimu huo serikali itenge siku maalumu(public holiday) ya kuadhimisha na kusheherekea katiba ya nchi yetu(constitutional day) kukuza uzalendo na utaifa wa taifa. Ni muhumu siku hiyo ikawa katikati ya wiki kuongeza hamasa.
Kama sherehe ya uhuru wa Taifa inafutwa halafu pesa zinatumika kwenye sherehe ya miaka 48 ya CCM unatarajia ndio siku ya katiba itazingatiwa, popo hao hawaelewi lolote
 
Back
Top Bottom