Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Dunia inaendelea kupiga hatua za kimaendeleo ikichagizwa na ukuwaji wa sayansi na teknolojia, ukuwaji huu unaenda sambamba na kuongezeka kwa tabia au mfumo mbaya ambao unaenda kuvunja na kuharibu kabisa tamaduni za Afrika lakini pia hata sheria za dini tofauti.
Maendeleo haya ya teknolojia bado yanaenda kutuzalishia jamii isiyokuwa na maadili huku serikali bado haijatoa tamko rasmi licha ya kuwepo matukio mbalimbali ambayo yanadhihirisha athari za teknolojia katika jamii yetu.
Majuzi tulishuhudia jeshi la polisi likizalilishwa kupitia askari mmoja ambaye inasemekana kuwa ni muumini wa mapenzi ya jinsia moja watu wanaenda mbali zaidi wakidai kuwa vyama vya mashoga vinaweza kuwa na nguvu zaidi ya jeshi letu wakati kitu ambacho siyo sahihi.
Ukimya huu wa serikali kulaani vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ni hafifu licho kuongezeka kwa idadi kubwa ya vijana hawa ambao nguvu kazi ya kesho kusema kweli sitarajii kuongozwa shoga katika maisha yangu hivyo tunaomba serikali iweze kujitathmini katika utekelezaji wake huku kulegalega kunaendelea kuitia doa jamii,dola na serikali yetu kwa ujumla.
Uhuru wa teknolojia usivuke mipaka na kuvunja tamaduni zetu, tamaduni ndiyo msingi mkubwa ambao unafanya mpaka sasa serikali iliyokuwepo madarakani kuendelea kuwepo hivyo basi ikiwa serikali itashindwa kusimamia jambo hili inatakiwa kutambua kuwa inapoteza nguvu/ushawishi kwa wananchi wake(sio wapiga kura nieleweke).
Zaidi: serikali inahitajika kuweza kusimamia vizuri hizi sheria za mtandao ili kupunguza au kutokomeza mambo ya konektion.
Maendeleo haya ya teknolojia bado yanaenda kutuzalishia jamii isiyokuwa na maadili huku serikali bado haijatoa tamko rasmi licha ya kuwepo matukio mbalimbali ambayo yanadhihirisha athari za teknolojia katika jamii yetu.
Majuzi tulishuhudia jeshi la polisi likizalilishwa kupitia askari mmoja ambaye inasemekana kuwa ni muumini wa mapenzi ya jinsia moja watu wanaenda mbali zaidi wakidai kuwa vyama vya mashoga vinaweza kuwa na nguvu zaidi ya jeshi letu wakati kitu ambacho siyo sahihi.
Ukimya huu wa serikali kulaani vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ni hafifu licho kuongezeka kwa idadi kubwa ya vijana hawa ambao nguvu kazi ya kesho kusema kweli sitarajii kuongozwa shoga katika maisha yangu hivyo tunaomba serikali iweze kujitathmini katika utekelezaji wake huku kulegalega kunaendelea kuitia doa jamii,dola na serikali yetu kwa ujumla.
Uhuru wa teknolojia usivuke mipaka na kuvunja tamaduni zetu, tamaduni ndiyo msingi mkubwa ambao unafanya mpaka sasa serikali iliyokuwepo madarakani kuendelea kuwepo hivyo basi ikiwa serikali itashindwa kusimamia jambo hili inatakiwa kutambua kuwa inapoteza nguvu/ushawishi kwa wananchi wake(sio wapiga kura nieleweke).
Zaidi: serikali inahitajika kuweza kusimamia vizuri hizi sheria za mtandao ili kupunguza au kutokomeza mambo ya konektion.