NANGI NYANDA
Member
- Jan 15, 2015
- 39
- 6
Hivi karibuni kumetokea sintofahamu kuhusu ajira za walimu kwa mwaka 2015! Sintofahamu hii inatokana na kauli za Kikwete pamaoja na waziri wake ndugu Zambi!
Zambi alitamka ajira za walimu wa arts hazitakuwa kwa mkupuo kwa kuwa walimu hawa wametosha kama Kikwete alivyosema!
Hata hivyo utata mwingine unaletwa na mwaka 2015! Wapo wanaosema ajira za mwaka huu zitakuwepo kwa kuwa bajet yake ni ile ya 2014/15 na wapo wanaosema kuanzia sasa hizo ajira hazitakuwepo!
Kwa kuwa ndani ya forum hii kuna mawaziri na imani yangu hata wa elimu yupo ninaomba alitolee ufafanuzi suala hili ili tunaozisubir ajira hizi tuwe na taarifa sahihi!
Zambi alitamka ajira za walimu wa arts hazitakuwa kwa mkupuo kwa kuwa walimu hawa wametosha kama Kikwete alivyosema!
Hata hivyo utata mwingine unaletwa na mwaka 2015! Wapo wanaosema ajira za mwaka huu zitakuwepo kwa kuwa bajet yake ni ile ya 2014/15 na wapo wanaosema kuanzia sasa hizo ajira hazitakuwepo!
Kwa kuwa ndani ya forum hii kuna mawaziri na imani yangu hata wa elimu yupo ninaomba alitolee ufafanuzi suala hili ili tunaozisubir ajira hizi tuwe na taarifa sahihi!