#COVID19 Serikali itoe tamko suala la maziko ya watu waliokufa kwa COVID-19 au waliokuwa na changamoto ya upumuaji

#COVID19 Serikali itoe tamko suala la maziko ya watu waliokufa kwa COVID-19 au waliokuwa na changamoto ya upumuaji

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Sina takwimu zozote lakini hali ya vifo vinavyotokea sasa hivi, siyo ya kawaida.

Inatia hofu kuona harakati za shughuli nzima ya msiba ni zile zile za kawaida.

Hata Viongozi wa Dini wameamua kumjaribu Mungu kwa kushindwa kutoa tahadhari ili kuwalinda baadhi ya watu.

Natoa rai kwa Serikali yangu, iseme neno kidogo kuhusiana na suala la misiba.
 
Siku kondakta wa daladala yoyote ambaye kwa wastani kwa siku anapokea nauli na kurudisha chenji za abiria zaidi ya 1000 kwa siku amelazwa au kufa kwa Covid ndo nitaamini huo ugonjwa wenu ni hatari.

Vinginevyo mnaokomalia hizi habari za Corona nahisi aidha mnalishwa na waume zenu au mnakaa kwa shemeji zenu. Mwanaume anayejipambania kupata kipato hawezi kuamka jumatatu asubuhi anawaza Corona tu.

Ficheni upumbavu wenu basi, sio lazima kuu expose.
 
Watu huku kitaa maisha yanasonga mbele hakuna cha barakoa wala nduguze. Endeleeni kumpeeb Mungu atawapa majibu kwa Majira yake na mtafedheheka vilivyo.
Mkuu achana na hao, nasisitiza wote hao wanalishwa na waume zao au shemeji zao. Mwanaume unayepambana mwenyewe huwezi kuamka jumatatu asubuhi asubuhi unawaza Corona tu, haiwezekani kabisa. That's a simple logic.
 
Sina takwimu zozote lakini hali ya vifo vinavyotokea sasa hivi, siyo ya kawaida.

Inatia hofu kuona harakati za shughuli nzima ya msiba ni zile zile za kawaida...
Dalali wa Chanjo Kazini
 
Afadhali Diallo aliyesema levo seat irudishwe kwenye vyombo.
Mi nashindwa kuelewa hawa watu! Level seat inakuwa ngumu sababu mafuta gharama zipo juu ndio maana wenye magari wanalazimika kuwalundika tu kama miwa!

Ila mfano bei ikiwa standardized kwa buku gari zote watu wakae level seat full ac narudia tena full ac bila kushusha vioo sidhani kama kuna mtu atapinga! Tamko litolewe ila maslahi ya waendesha vyombo nayo wayatii!

Waombe kibali gari ziwe express kama ni mbezi basi moja kwa moja kituo kimara mwisho au mbezi! Watumie njia ya mwendo kasi ile kila route wanayoenda iwe kwenda au kurudi wana punch buku kituoni pale! Hizo buku buku kwenye coaster private ni hela nyingi sana ukipigia mwezi mzima!
 
Siku kondakta wa daladala yoyote ambaye kwa wastani kwa siku anapokea nauli na kurudisha chenji za abiria zaidi ya 1000 kwa siku amelazwa au kufa kwa Covid ndo nitaamini huo ugonjwa wenu ni hatari. Vinginevyo mnaokomalia hizi habari za Corona nahisi aidha mnalishwa na waume zenu au mnakaa kwa shemeji zenu. Mwanaume anayejipambania kupata kipato hawezi kuamka jumatatu asubuhi anawaza Corona tu. Ficheni upumbavu wenu basi, sio lazima kuu expose.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afadhali Diallo aliyesema levo seat irudishwe kwenye vyombo.
Levo siti huku wengine hawajavaa barakoa wengine wamevaa,wengine wamejificha kwa kukalia vibenchi ili traffic asiwaone.
 
Siku kondakta wa daladala yoyote ambaye kwa wastani kwa siku anapokea nauli na kurudisha chenji za abiria zaidi ya 1000 kwa siku amelazwa au kufa kwa Covid ndo nitaamini huo ugonjwa wenu ni hatari. Vinginevyo mnaokomalia hizi habari za Corona nahisi aidha mnalishwa na waume zenu au mnakaa kwa shemeji zenu. Mwanaume anayejipambania kupata kipato hawezi kuamka jumatatu asubuhi anawaza Corona tu. Ficheni upumbavu wenu basi, sio lazima kuu expose.
Watakwambia hao makonda ni carrier hawaumwi kwa sababu ni vijana, corona inawaathiri watu wenye umri mkubwa.
 
Mi nashindwa kuelewa hawa watu! Level seat inakuwa ngumu sababu mafuta gharama zipo juu ndio maana wenye magari wanalazimika kuwalundika tu kama miwa!...
Hivi mkuu kipindi kile walivyoweka level seat hukuona shida ya usafiri kwa abiria? unaweza kukaa kituoni masaa matatu gari zinakuja ila zinachukua abiria wachache na kuondoka, kujaza watu kwenye daladala ni kutokana na shida ya usafiri sio kwamba watu wanapenda kusimama na kubanana kwenye daladala.
 
Hivi mkuu kipindi kile walivyoweka level seat hukuona shida ya usafiri kwa abiria? unaweza kukaa kituoni masaa matatu gari zinakuja ila zinachukua abiria wachache na kuondoka, kujaza watu kwenye daladala ni kutokana na shida ya usafiri sio kwamba watu wanapenda kusimama na kubanana kwenye daladala.
Lakini gari zikiwa nyingi hilo tatizo naimani litaisha! Mfano gari zikawa zinapita express way ya mwendo kasi bila bugudha au waombe njia iwe ya dala dala tu naimani swala la level seat litawezekana mkuu
 
Barakoa iwe lazima kwenye mikusanyiko
Hao watu wanajua matumizi sahihi ya barakoa? kama watu wanaishia kujua kuvaa tu barakoa pasina kujua uvaaji sahihi basi hapo hatutakuwa tunajikinga bali tunaeneza hayo maradhi.
 
Lakini gari zikiwa nyingi hilo tatizo naimani litaisha! Mfano gari zikawa zinapita express way ya mwendo kasi bila bugudha au waombe njia iwe ya dala dala tu naimani swala la level seat litawezekana mkuu
Hata sasa gari ni nyingi.
 
Wewe unafahamu kwamba mtu ameondoka kwa corona halafu unasubiri tamko la serikali kukuzuia usiende kurundikana!
 
Hata sasa gari ni nyingi.
Sasa tatizo liko wapi? Kwa sababu kinachozingua ni kwakuwa gari hazina utaratibu maalum wa safari! Kama every after 5 minutes gari inatoka kituoni kwa utaratibu na kwenda mwendokasi na kubeba watu pale hutakuta mtu hata mmoja anakosa usafiri!

Mpangilio mbovu wa route! Mfano gari za mbagala na gongolamboto ndio zina demand kubwa sana ila zipo chache hasa majira ya rush hours! Hii ndio inapelekea kugombania! Ila kwa utaratibu huo coaster 60 zitatoka ndani ya lisaa limoja basi abiria 1,800 watakuwa wamebebwa! Sasa hapo kuna shida ya level seat kweli?
 
Hao watu wanajua matumizi sahihi ya barakoa? kama watu wanaishia kujua kuvaa tu barakoa pasina kujua uvaaji sahihi basi hapo hatutakuwa tunajikinga bali tunaeneza hayo maradhi.
Mbona hata Condom elimu ilitolewa na sasa watu wameshaelewa.
 
Back
Top Bottom