Serikali itumie huduma ya ujumbe mfupi wa simu kuelimisha wananchi juu ya mambo mbalimbali

Serikali itumie huduma ya ujumbe mfupi wa simu kuelimisha wananchi juu ya mambo mbalimbali

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
5,214
Reaction score
10,276
Dah serikali zetu hizi bhana

Ukiachilia mbali uzwazwa wa mtu binafsi wa kutapeliwa na kufahamishana habari za sensa ambapo taarifa zake tayari zipo kwenye Tovuti ya takwimu nbs.go.tz na pdf lishatoka.

Nadhani kunaishu nyingine nyingi za muhimu ambazo serikali zetu zilitakiwa zitilie mkazo kwa kupitisha jumbe fupi za maneno kwenye simu za kiganja kwa kila mtu kama wafanyavyo kwenye vitu kama sensa na tuma kwenye namba hii.

Magonjwa kama homa ya ini na athari zake inatakiwa ipewe airtime ya kutosha. Maana jamii ipo conscious na HIV/AIDs pamoja mimba (sio tatizo ila ni tatizo mtu ambaye akujiandaa) huku homa ya ini ambayo haina dawa ikiendelea kumtafuna mmoja baada ya mwengine kimya kimya kama mwendo wa kunyatia beki 3 chumbani kwake.

Tusitake kusubiri wahisa sijui kutoka wapi ilikusambaza taarifa za ugonjwa huu.

Screenshot_20230106-141911.jpg
 
Msiingilie undani wa watu kinyume cha matakwa yao! Utanitumiaje text bila idhini yangu. Zipo njia sahihi za kuwasiliana na umma. Sio hizo meseji.
 
Dah serikali zetu hizi bhana

Ukiachilia mbali uzwazwa wa mtu binafsi wa kutapeliwa na kufahamishana habari za sensa ambapo taarifa zake tayari zipo kwenye Tovuti ya takwimu nbs.go.tz na pdf lishatoka.

Nadhani kunaishu nyingine nyingi za muhimu ambazo serikali zetu zilitakiwa zitilie mkazo kwa kupitisha jumbe fupi za maneno kwenye simu za kiganja kwa kila mtu kama wafanyavyo kwenye vitu kama sensa na tuma kwenye namba hii.

Magonjwa kama homa ya ini na athari zake inatakiwa ipewe airtime ya kutosha. Maana jamii ipo conscious na HIV/AIDs pamoja mimba (sio tatizo ila ni tatizo mtu ambaye akujiandaa) huku homa ya ini ambayo haina dawa ikiendelea kumtafuna mmoja baada ya mwengine kimya kimya kama mwendo wa kunyatia beki 3 chumbani kwake.

Tusitake kusubiri wahisa sijui kutoka wapi ilikusambaza taarifa za ugonjwa huu.

View attachment 2470853
Kupata taarifa ni Haki ya Kikatiba ya Wananchi, na ili kuepusha upotoshaji kwa Wananchi, Serikali iweke utaratibu wa kutolea maelezo masuala muhimu yote kila yanapotokea au kuweka tahadhari juu ya kutokea kwake kupitia Simu za mkononi

Mkanganyiko uliopo kwenye Suala la Deni la Taifa usingekuwepo endapo Serikali itaanza kutumia njia hiyo kutoa maelezo kuhusu namna Deni hilo lilivyo, faida na matumizi ya fedha zinazokopwa na namna linavyolipwa

Serikali inaweza kutumia njia hiyo kutoa tahadhari au ya majanga, mlipuko wa magonjwa ya homa za msimu ikiwemo Mafua na Kikohozi, taarifa za ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya kitaifa n.k,. Utaratibu huo utasaidia kuepusha kusambaa kwa taarifa zisizo sahihi kwa Wananchi.
 
Back
Top Bottom