Serikali itunge sheria kali kwa wale ambao wanaweka akiba ya fedha

Serikali itunge sheria kali kwa wale ambao wanaweka akiba ya fedha

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Ni hivi kuna jamaa yangu mmoja kaja kunishauri ooh unajua kaka una matumizi mabaya ya fedha kwahiyo nakushauri uanze kuweka akiba ili ikusaidie baadaye.

Mwanzo nikaona ana point ila nilivyo kaa kutafakari ushauri wake nikamuona mpuuzi, hivi kabisa unaakili timamu unamshauri mwenzako aweke akiba, yaani fedha,

Kwa mwenye akili ameenielewa kwa wenzangu na mimi someni comment ndio tutajua uwezo wa mtanzania kufikiri bila shaka hata baadhi ya viongozi wenyewe mmetoka kapa hata hamjaelewa hiyo sheria mn anaitunga kwa mantiki ipi?

Hongera wewe unaepata fedha unaitumia hapo hapo au kabla ya wiki kuisha umeitumia.

NB: Serikali naombeni mtunge sheria kali ikiwemo kifungo kwa wale wote wanaoweka akiba ya fedha bank nk wanahujumu uchumi
 
Fedha inatakiwa kuwekezwa ila wazo lako ni la kipuuzi kwasababu kuwa na akaunti ya akiba pia ni muhimu kwa matumizi ya hapa na pale ikiwemo dharura.
 
Fedha inatakiwa kuwekezwa ila wazo lako ni la kipuuzi kwasababu akiba kwenye savings pia ni muhimu kwa matumizi ya hapa na pale ikiwemo dharura.
Nadhani hata wewe hujanielewa tungoje wengine
 
Ni hivi kuna jamaa yangu mmoja kaja kunishauri ooh unajua kaka una matumizi mabaya ya fedha kwahiyo nakushauri uanze kuweka akiba ili ikusaidie baadaye...
When I get it, i spend it all. Go shopping, travel here and there, feed my dragons, pay my dragon keepers etc. Spend that cash when we die we will leave it all [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mleta mada anajiona genius kumbe kenge tu mind your economy habari za mzunguko achia banking system kwani ukiweka bnk haizungushwi?

Nb.kusave ni muhimu ili tutimize malengo yetu unafikri ntafanya uwekezaji wa kueleweka kwa mshahara mmoja
 
Namna nzuri ya kuweka akiba ni kuinvest. Faida unayopata unaila kidogo na nyingine una invest kwenye project nyingine tena
Ni hivi kuna jamaa yangu mmoja kaja kunishauri ooh unajua kaka una matumizi mabaya ya fedha kwahiyo nakushauri uanze kuweka akiba ili ikusaidie baadaye...
 
Harafu kwenye Sensa watu design yako mpo wengi sana na ni Mtaji mkubwa kwa Chama Tawala...
 
Back
Top Bottom