Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Nimemsikiliza mdigo mwenzangu, sisi watu wa Tanga sio malofa, kwanza ngumi ndio fani zetu, kuna wakati tulikuwa tunacheza mechi za ngumi za uswahili maeneo ya Makorola, yaani mabondia wa Donge au usagara wanapambana na mabondia wa makorola, tunakutana eneo tunalopanga kila mmoja anachagua wake zinapigwa kavu kavu.
Tanga ndio anakotokea Magoma Shaaban, Bakary Mambeya nk, sisi ngumi ni kama mpira wa miguu vile.Mie mwenyewe ukiniingia vibaya nakuchafua uso dakika 2 t, ndio maana wanaonitukana humu nawaangalia t.
Mwakinyo kakataa ulofa, mapromota wetu wahuni, sio professional, wanataka kutajirika kupitia mabondia, kwa mfano Mwakinyo kasema Leo hapigani lkn watu wanafosi kusema Mwakinyo amekubali na mgogoro umeisha wakati Mwakinyo amegoma kweupeeeee.
Acheni wizi, Mwakinyo alitoa hela zake ili mradi sisi mashabiki zake tufurahi Leo lakini mnamchanganyia mfaili, kwanini mumtafutie mapromota aliokataa kufanya nao kazi?
Acheni kuharibu brand za watu, serikali iiingilie kati mapromota feki wachukuliwe hatua, serikali itengeze sheria promota wa ngumi awe na vigezo na leseni ili kuwaondoa wahuni kwenye mchezo huo mgumu sana.
Tanga ndio anakotokea Magoma Shaaban, Bakary Mambeya nk, sisi ngumi ni kama mpira wa miguu vile.Mie mwenyewe ukiniingia vibaya nakuchafua uso dakika 2 t, ndio maana wanaonitukana humu nawaangalia t.
Mwakinyo kakataa ulofa, mapromota wetu wahuni, sio professional, wanataka kutajirika kupitia mabondia, kwa mfano Mwakinyo kasema Leo hapigani lkn watu wanafosi kusema Mwakinyo amekubali na mgogoro umeisha wakati Mwakinyo amegoma kweupeeeee.
Acheni wizi, Mwakinyo alitoa hela zake ili mradi sisi mashabiki zake tufurahi Leo lakini mnamchanganyia mfaili, kwanini mumtafutie mapromota aliokataa kufanya nao kazi?
Acheni kuharibu brand za watu, serikali iiingilie kati mapromota feki wachukuliwe hatua, serikali itengeze sheria promota wa ngumi awe na vigezo na leseni ili kuwaondoa wahuni kwenye mchezo huo mgumu sana.