SERIKALI ITUPIE JICHO WIZARA TATU:-KILIMO, MADINI NA NISHATI ROSTAM AZIZ YUMO.

SERIKALI ITUPIE JICHO WIZARA TATU:-KILIMO, MADINI NA NISHATI ROSTAM AZIZ YUMO.

Sonimbusilo

Member
Joined
Aug 12, 2024
Posts
12
Reaction score
47
Umakini unahitajika wizara Tatu, upigaji wa Rostam Aziz na kutumia picha alizopiga na Rais kutisha wawekezaji wazawa.

(1). Wizara ya Kilimo, wizara hii sitashangaa na sikushangaa sakata la sukari na makarate ya kugawa vibali vya kuagiza Sukari na kampuni za simu, stationery nk Waziri wa kilimo alilelewa na Rostam Aziz ndiye aliyekuwa mkurugenzi wa makampuni ya Rostam, Bashe ndiye alikuwa muendeshaji wa Habari yenye magazeti ya Rai, Mtanzania nk....hapa kilimo hata miradi wa BBT wanaoendesha miradi ni watu wa Rostam Aziz hapa kampuni zisizo na majina za Rostam zitapiga pesa sana.

(2).Wizara ya madini:-huyo Anthony alikuwa Naibu waziri wa kilimo akiwa chini ya Bashe so urafiki wao ni mkubwa, hivyo tunapoona kampuni yenye uhusiano na Rostam Aziz kampuni ya SWALA Solution mbadala wa Twiga minerals corporation Kwenye migodi inayomilikiwa na kampuni ya Barrick Gold corporation hatushangai, tunapoona waarabu wanatamba migodini kwa kuwasumbua watu waliofanya uwekezaji zamani?! Tunajiuliza maswali mengi ila lazima tuseme na tukemee.

(3). Wizara ya Nishati:-hapa nafikiri pia waziri alikuwa waziri wa madini so connection ipo, hapa Rostam amefungua kampuni nyingiiiii zenye majina tofauti katia timu kwenye Gesi asilia, napo analazimisha waliowekeza wampe share au awachongee kwenye mamlaka watimuliwe, tuendelee kumfuatilia Rostam Aziz asilete vikwazo kwa wafanyabishara nchini.
 

Attachments

  • IMG-20240824-WA0019.jpg
    IMG-20240824-WA0019.jpg
    21.5 KB · Views: 11
Shujaa Magufuli: Rostam gombea Ubunge Jimbo la Morogoro Mjini

😂😂😂😂
 
Hivi mtu kama rostam pesa zote ambazo hazimtoshi anataka kufanyia nini??
Utajiri nap ni utumwa.
 
kwani Kuna ubaya gani Rostam Aziz kufanya biashara mbona mna wivu sana
ROSTAM AZIZI AJAWAI KUFANYA BIASHARA HATA YA SH100 HUYO NI FISADI WA MALI YA UMA ...NDIYO MAANA PAMOJA NA UTAJILI WAO WOTE BADO WALIKAMATWA NA SHEHENA YA SILAHA ZA MOTO NA NYARA ZA SERIKALI.....ROSTAM AZIZI NDIYE MKUU WA KITU KINACHOITWA STATE CAPTURE TENA KIBAYA ZAIDI KINAFANYA NA RAIA FEKI ....SERIKALI YOTE YA TANZANIA KWA SASA INAMILIKIWA NA HUYO JAMBAZI NA GENGE LAKE NI MALI YAO BINAFSI HIVYO KUJIDANGANYA KUWA MTANZANIA ANAPIGA KULA KUCHAGUA KIONGOZI NI UONGO TAYARI SERIKALI IMESHA KUWA MALI YA HAO RAIA FEKI...
 
Hivi mtu kama rostam pesa zote ambazo hazimtoshi anataka kufanyia nini??
Utajiri nap ni utumwa.
Ajenda yao ni kuendelea kuimiliki serikali kuwa mali yao binafsi
 
kwani Kuna ubaya gani Rostam Aziz kufanya biashara mbona mna wivu sana
Huyu nahisi ni agent wa CIA ndio maana hatosheki. Dalali wa mali za umma.

Alipewa majengo, mali nyingi za CCM kama channel ten katika utawala wa Kikwete alipokuwa mweka hazina.

Wakati ule alikuwa mfadhili mkuu wa CCM.
 
Umakini unahitajika wizara Tatu, upigaji wa Rostam Aziz na kutumia picha alizopiga na Rais kutisha wawekezaji wazawa.

(1). Wizara ya Kilimo, wizara hii sitashangaa na sikushangaa sakata la sukari na makarate ya kugawa vibali vya kuagiza Sukari na kampuni za simu, stationery nk Waziri wa kilimo alilelewa na Rostam Aziz ndiye aliyekuwa mkurugenzi wa makampuni ya Rostam, Bashe ndiye alikuwa muendeshaji wa Habari yenye magazeti ya Rai, Mtanzania nk....hapa kilimo hata miradi wa BBT wanaoendesha miradi ni watu wa Rostam Aziz hapa kampuni zisizo na majina za Rostam zitapiga pesa sana.

(2).Wizara ya madini:-huyo Anthony alikuwa Naibu waziri wa kilimo akiwa chini ya Bashe so urafiki wao ni mkubwa, hivyo tunapoona kampuni yenye uhusiano na Rostam Aziz kampuni ya SWALA Solution mbadala wa Twiga minerals corporation Kwenye migodi inayomilikiwa na kampuni ya Barrick Gold corporation hatushangai, tunapoona waarabu wanatamba migodini kwa kuwasumbua watu waliofanya uwekezaji zamani?! Tunajiuliza maswali mengi ila lazima tuseme na tukemee.

(3). Wizara ya Nishati:-hapa nafikiri pia waziri alikuwa waziri wa madini so connection ipo, hapa Rostam amefungua kampuni nyingiiiii zenye majina tofauti katia timu kwenye Gesi asilia, napo analazimisha waliowekeza wampe share au awachongee kwenye mamlaka watimuliwe, tuendelee kumfuatilia Rostam Aziz asilete vikwazo kwa wafanyabishara nchini.
Kati ya matajiri wanaliibia hili taifa kwa baraka za serikali kwa mikataba ya wizi na ujanja ni ROSTAM AZIZ na ni hodari wa kutoa rushwa kubwa kubwa kwa chama na serikali. na kati ya watu matajiri na wafanya biashara wanao liibia hili taifa kwa kukwepa kodi kupitia uzalishaji wa viwanda ni Mo Dewji hawawatu wanatajirika kwa kuiyonya nchi hii kwa sapoti ya viongozi wa chama na serikali
 
Kati ya matajiri wanaliibia hili taifa kwa baraka za serikali kwa mikataba ya wizi na ujanja ni ROSTAM AZIZ na ni hodari wa kutoa rushwa kubwa kubwa kwa chama na serikali. na kati ya watu matajiri na wafanya biashara wanao liibia hili taifa kwa kukwepa kodi kupitia uzalishaji wa viwanda ni Mo Dewji hawawatu wanatajirika kwa kuiyonya nchi hii kwa sapoti ya viongozi wa chama na serikali

Mo Dewji yupo kwenye mkataba wa kuuza misitu yetu, akishirikiana na Samia na Dubai Blue Carbon. Asilimia 8% ya Tanzania imeuzwa na hawa madalali.
 
Back
Top Bottom